Wanaume njoon mnipe jibu

Na wanavyojua kuutetea huo umalaya wao sasa utachoka. Ni akili tu hawana, hizo nguvu wangehamishia kusaka pesa tungekuwa uchumi wa kati kitambo.
 
Ukiwa na rafiki usipende akawa na mazoea na mmeo
 
Ngoja nisome replies tu maana hata nikitoa msimamo online huku physical nyege zitanifanya nivunje msimamo wangu
 
Kwenye swala la kujamiiana akili ya mwanaume huwa aiangalii wadhifa,jinsia,umri au chochote.yeye chochote kitakachowezekana kula atakila.ndo maana vichaa wanapata mimba,watoto wadogo wanabakwa,mashoga wanapata wakuwala yaani kila kitu kinaliwa hadi wanyama watu wanakula.Kinacholeta tofauti ni ustarabu wa mwanaume mwenyewe jinsi alivyolelewa na jinsi anavyojiheshimu.Kama yeye mwenyewe atashindwa kujiheshimu usitegemee atamheshimu mkewe,chochote kitakachopita karibu akiwa na uwezekano wakukila atakidaka.pole sana kwayaliyokukuta.
 
Hahahaaa!Rafiki wa mke na njirani ndiyo wanawake waliokaribu yetu pia.Ni rahisi kuongea naye kwa sababu tayari mnamazoea ya ukaribu.
 
Kukosa kujiheshimu tu
 
Na wewe ulimkula nani?
 
Mungu anisamehe. Niliombwa show na mke wa rafiki , nikapiga.

Chanzo jamaa yangu anamaliza wiki ni kula kulala. Lakini anatembeza rungu nje kama chizi. Akiombwa ndani ni dk 5 amesepa.

Mama akitamani anaandaa mazingira ananikonyeza, nampa.

Ndo maisha yetu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mmmmh
 
Shida haipo kwa wanaume kwa sababu ya kuwa na vichwa viwili, shida ipo kwa wanawake , adui wa mwanamke ni mwanamke.
 
Sasa kama unajua hatuwezi kutulia na mwanamke mmoja kwanini unaita wanaume watoke kwenye majukumu yao ya kutafuta kibunda ili utusumbue tuu na kuturudisha nyuma kiutafutaji?

Na je, umesha jiuliza anayefanya mwanaume asitulie na mwanamke mmoja ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…