Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Pole kwa kupata bwana mchafu.Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Honeymoon si iliisha juzi juzi, kwanini baada ya hapo hukumnyoa na kumnunulia kila kitu ukitakacho. kwenye zawadi hukupata aftershavings na vikorombwezo vingine. Monimoni moni unless kuna mtu kakutuma kila mtu humu anajua mwanangu/mdogo wangu uliolewa ulitutangazia sasa tunahisi kitchen party haikufanikiwa. Adios.Naanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
Naanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
Labda unaokutana nao mie nikikutana na le hubby huo uturi natamani hata kumtafuna...
Kwa hii comment ni wazi huna hulijualo.
Pole
Yule mume wako kicheche ushamuacha sasa umepata mchafu?? Bora uje kwangu maana mimi si mchafu.Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Dawa ni moja tu wanyoe vuzi lote hadi kwenye anus then wapakae mafuta ya ndimu tatizo loote kwishaaEnyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
Marahaba mtoto mzuri
May be She is a Health officer 🙄🙄Monicca mara nafunga ndoa kesho, mara ndoa tamu kila mara baby, mara mbegu zinaniunguza, mara mume wangu anamichepuko mingi, mara wanaume na uchafu sijui kesho utakuja na nini?
Monicca wewe kila siku unakutana na wanaume wenye kasoro,una mkosiiii?Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Kupatwa kwa hulijualo,,,,,samahan lakiniKwa hii comment ni wazi huna hulijualo.
Pole
Na nyinyi kina dadaz kuweni wasafi...aseee.....coz una kuta umemtongoza demu akakubali sasa wakati wa LIGI......nyeti inanuka harufu ya dagaa wabichi....lolh.......xo...in vice versa...na nyie kuweni wasafiiii.....etiiiiiii......Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Huo ugonjwa unaitwa 'pumbuyeye'... Made in Shule za Boarding.Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hajaolewa huyu hata.... Mtafuta KikiUmeamua kumchafua mumeo this week,.. Mmekosana chumbani, unakuja kumuumbua jf, hakika mke usimpe siri zako ukamuamini...