Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Naanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
ha ha ha ha ha ha we kiboko, HUJAMPENDA NDO MANA UNASEMA HIVYO, Hivi ukiambiwa mwanaume ni kama mtoto unadhani kivipi? Unavyomfulia, na kumpikia je?? si ni jibaba zima si afanye mwenyewe, vipi unavyompigia pasi na muda mwengine kumchagulia chakuvaa?? Na kwa taarifa yako hiyo kazi ya kunyoa si yako hata yeye anapaswa kufanya hivyo..HASA HUYO WAKO MCHAFU NDO MNAJIWEKEA KAMA KILA WEEEK AU KILA WEEK 2 KUTEGEMEA NA UKUAJI WA HUO UCHAFU 😀😀😀😀
 
asilimia nyingi wasichana ndio wachafu kwa kuwa wanatokwa na aina nyngi ya uchafu katika sehemu zao za siri...ndo maan inashauriw kw msichan kuvaa nguo ya ndan mara moja kwa siku ja kuifua ila kwa mvulan anaweza akakaa nayo maxmum siku tatu kama ni mvivu wa kufanya usafi wa nguo...
*monica si ustaarabu kujumuisha watu wote kuw ni wachafu eti kw 7bu umemuon mmoja wao uliykutna naye
*Sisi pia tunakuna na waschan ambao ni wachafu ila tunaon si ustaarbu kufany kama unavyofany
*ni busara kumwambia mhuska kuliko kuliko kulitangaz hadharan na kumdharirsha mume/mchumba uliyenaye
 
Umeshauriwa kitu kizuri kwani mwanaume anahitaji matunzo kama ana nuka na hanyoi inabidi umfanyie ukarabati wewe maana akitoka nje mchafu watu watakushangaa wewe
Alishasema wanaume, unajua idadi ya wanaume anao....... Ambao ametaka wawe wasafi? Angekuwa ni mme ushauri ungefaa, sasa yeye kasema wanaume.
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hakuna mwanaume anaenuka,labda kunukia,tujaribu,mimi mwanaume nisisafishe huko kijijini kwa wiki moja nzima na wewe m/mke usisafishe huko kijijini kwa siku moja tu masaa 24 then tuvue na tuone nani atamkimbia mwenzie
 
Kazi ya kunyoa midume inafanywa na wanawake magorikipa
Wewe ambaye ni mtafutaji yaani siyo golikipa unatafuta kwa wafulana wachafu? Wasafishe sasa hao wavulana au kama vipi rudi kuwa "golikipa"
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Ila kuna wadada huwa mnanuka shombo sijui mnapuliziaga spray gani kwenye hizo papuchi. Yani ukimaliza speed ya kwanza kuoga
 
Umeamua kumchafua mumeo this week,.. Mmekosana chumbani, unakuja kumuumbua jf, hakika mke usimpe siri zako ukamuamini...
 
We moniccca, licht ya Kuwa nyie wanawake mnafanya huo usafi wa kupitiliza, ila jaribu kuweka [emoji121] utuambie kama kunafanana, halafu utuambie
 
1474897257632.png
 
Umeamua kumchafua mumeo this week,.. Mmekosana chumbani, unakuja kumuumbua jf, hakika mke usimpe siri zako ukamuamini...
Ana haki ya kufanya hivyo maana alimpata humu jf,na kila hatua ya mahusiano yao amekuwa akiiweka wazi humu jf. Hivyo huu ni mwendelezo wa historia yake na Mr. Right wake!
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Kama hamfanani ulienda nae ili?
Kama ulikuwa kibaruani kubali yote, hata kama ni punguwani panua tu, si ndiyo zenu?
 
Back
Top Bottom