Kwamba kumenoga.. na kumenoga hasaaWanaume tafuteni pesa...
Msitake huruma huruma,kutoa Ni nature yenu,mwanamke kupokea ni nature yake.
Karma upite na huku MMU kumenoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa na huu ndio ukweli wenyewe.Nature yetu Ni kupewa na sio kuomba.
Mwanaume mwenye akili atajiongeza,pale anapotakiwa kutoa atatoa...msisubirie tuombe, mwanaume anayesubiri kuombwa hela atasubiri sana.
Wewe unatafuta ila Kuna wanaume Ni hasara,hawahangaiki na chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke kufanya kazi Ni ziada...Kabisa na huu ndio ukweli wenyewe.
Na ndio maana huwa nawashangaa sana wale wanaolalamikaga eti "mke ana kazi yake lakini bado ananiomba pesa yangu"
Ni wakati sasa turudi kwenye uhalisia kama nature inavyo tuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kulima bustani nyumbani unahesabia kwamba Ni kulima?[emoji23]acha utani Basi
Ukitoa kwenu,watu gani wengine wanatekenya mikono na kujifurahisha kwa kulima kijibustani dar?
Kulima pekeyake sio kuyajua maisha lakini mtu wa dar hasa mwanaume aisee wafanyage mpango hata wa kwenda mikoani kwa ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh.. hakika wawe na hurumaMuwe na huruma
View attachment 1314081
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nijikaze niende tu huko nikakuulize.
Hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo majina Hayabadilishi kitu na hayajawahi kubadilisha kituIteni majina yoooooote ila mwisho wa siku msisahau hizo pesa tunazihitaji, hivyo msijisahaulishe hilo.
Safi sana na haya malipo stahiki kutoka kwa mwanamke, hakuna malipo mengine zaidi ya haya.. mwanaume ana haki ya kulalamika tu endapo kama atayakosa haya kwa mwanandani wake.Kweli tunawahurumia sana ndio maana baada ya hapo akirudi nyumbani apokelewa kwa bashasha, mabusu kama yoote, kumbato mwanana na pole za kumwaga. Baada ya hapo maji ya kuoga then chakula kitamuuu. Baadae massage kupunguza uchovu then anaamua sasa ale tena au apumzike.
Asante sana kwa kusimamia uhalisia mpwa.Mapenzi sio pesa lakini pesa ni kichocheo kizur Cha upendo........
Ukiwa huna mkwanja ni ngumu kua na stable relation....na hata mbwa wako anaweza kukung'ata pia Kama huna pesa maana utakosa mkwanja wa kununua ata dog meet [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa we nawe unataka kusema kwamba eti umelima mashamba maheka na maheka jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulima sio shida,Sijakuelewa, nimeona nikuache tu.
Natamani hii ligi angekuwa nayo mtu mwingine ambaye naweza kumwambia kwa maneno magumu.
Nakushauri tu kuangalia maisha katika pande zote, usijifungie kwenye shida tu.
[emoji1303][emoji1303][emoji1303][emoji1303]Asante sana wife materialSiwezi kuomba,,,zaidi mtu akijisikia atanipa.
Uwezo wa kutafuta ninao Sana na sijawahi tegemea pesa ya mtu..napewa kwa sababu mtu ameamua kunipa ,pia kwenye maisha Kuna wakati changamoto zinaibuka zisizoeleweka..hizo zipo pande zote na katika case hizo mwanamke anaweza toa kumsaidia mwanaume...
Lakini katika mahusiano ya ndoa jukumu la kuprovide Ni la mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanichukulia poa eeeh?
Nimeshiriki shughuli za kilimo kwa kupanda,kuweka mbolea na kuvuna.
Bado msimamo wangu Ni ule ule, mwanaume haitakiwi aijue dar tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mahusiano Mwanaume anahitaji loyalty tu ya mwanamke wakati huo mwanamke huduma tu kutoka kwa mume basiiii. Kwa sisi waafidhina tunaamini hivi viwili kila mmoja akivitimiza basi mahusiano hayo lazima yawe ni yenye afyaZaburi inasema fedha ni ulinzi kama vile hekima. Kitu cha msingi tuwe na fair trade nakuhudumia nihudumie pia sio natimiza mahitaji yako then yangu yako pending hiyo mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app