Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Nature yetu Ni kupewa na sio kuomba.
Mwanaume mwenye akili atajiongeza,pale anapotakiwa kutoa atatoa...msisubirie tuombe, mwanaume anayesubiri kuombwa hela atasubiri sana.

Wewe unatafuta ila Kuna wanaume Ni hasara,hawahangaiki na chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa na huu ndio ukweli wenyewe.

Na ndio maana huwa nawashangaa sana wale wanaolalamikaga eti "mke ana kazi yake lakini bado ananiomba pesa yangu"

Ni wakati sasa turudi kwenye uhalisia kama nature inavyo tuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa na huu ndio ukweli wenyewe.

Na ndio maana huwa nawashangaa sana wale wanaolalamikaga eti "mke ana kazi yake lakini bado ananiomba pesa yangu"

Ni wakati sasa turudi kwenye uhalisia kama nature inavyo tuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke kufanya kazi Ni ziada...
Ameumbwa kufanya majukumu ya familia..

Mwanaume kutoa ni lazima.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa we nawe unataka kusema kwamba eti umelima mashamba maheka na maheka jamani
Yaani kulima bustani nyumbani unahesabia kwamba Ni kulima?[emoji23]acha utani Basi

Ukitoa kwenu,watu gani wengine wanatekenya mikono na kujifurahisha kwa kulima kijibustani dar?

Kulima pekeyake sio kuyajua maisha lakini mtu wa dar hasa mwanaume aisee wafanyage mpango hata wa kwenda mikoani kwa ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli tunawahurumia sana ndio maana baada ya hapo akirudi nyumbani apokelewa kwa bashasha, mabusu kama yoote, kumbato mwanana na pole za kumwaga. Baada ya hapo maji ya kuoga then chakula kitamuuu. Baadae massage kupunguza uchovu then anaamua sasa ale tena au apumzike.
Safi sana na haya malipo stahiki kutoka kwa mwanamke, hakuna malipo mengine zaidi ya haya.. mwanaume ana haki ya kulalamika tu endapo kama atayakosa haya kwa mwanandani wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa we nawe unataka kusema kwamba eti umelima mashamba maheka na maheka jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanichukulia poa eeeh?
Nimeshiriki shughuli za kilimo kwa kupanda,kuweka mbolea na kuvuna.

Bado msimamo wangu Ni ule ule, mwanaume haitakiwi aijue dar tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuelewa, nimeona nikuache tu.

Natamani hii ligi angekuwa nayo mtu mwingine ambaye naweza kumwambia kwa maneno magumu.

Nakushauri tu kuangalia maisha katika pande zote, usijifungie kwenye shida tu.
Kulima sio shida,
Na huko mikoani sio kwamba wanakaa wanalima muda wote.

Kuwa huru kunambia kwa maneno yoyote Yale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kuomba,,,zaidi mtu akijisikia atanipa.
Uwezo wa kutafuta ninao Sana na sijawahi tegemea pesa ya mtu..napewa kwa sababu mtu ameamua kunipa ,pia kwenye maisha Kuna wakati changamoto zinaibuka zisizoeleweka..hizo zipo pande zote na katika case hizo mwanamke anaweza toa kumsaidia mwanaume...
Lakini katika mahusiano ya ndoa jukumu la kuprovide Ni la mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1303][emoji1303][emoji1303][emoji1303]Asante sana wife material

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mfano kama mwanaume anaijua Dar tu na miji mingine mikubwa duniani nje ya Tanzania halijui jembe na ana pesa mob tu napo kuna kitu anakosa enh??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanichukulia poa eeeh?
Nimeshiriki shughuli za kilimo kwa kupanda,kuweka mbolea na kuvuna.

Bado msimamo wangu Ni ule ule, mwanaume haitakiwi aijue dar tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaburi inasema fedha ni ulinzi kama vile hekima. Kitu cha msingi tuwe na fair trade nakuhudumia nihudumie pia sio natimiza mahitaji yako then yangu yako pending hiyo mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mahusiano Mwanaume anahitaji loyalty tu ya mwanamke wakati huo mwanamke huduma tu kutoka kwa mume basiiii. Kwa sisi waafidhina tunaamini hivi viwili kila mmoja akivitimiza basi mahusiano hayo lazima yawe ni yenye afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakua na mpenzi mpaka shilingi zikipatikana asee
 
Back
Top Bottom