simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,168
Thats niceKupokea kama ilivyo asili yangu japo sijawahi kuomba.
Kutoa pale inapobidi maana mwanaume nae Ni binadamu na Kuna Muda anapita kwenye changamoto
Licha ya kutafuta ambako ni ziada kwangu,lakini nafasi yangu Ni ya usaidizi(mke)
Sent using Jamii Forums mobile app