Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

So you're technically saying tutafute pesa and waste it on women. Sorry mate, that's a direct route to poverty and misery. Money/Wealth is the mission and women are simply bonuses not the main agenda.

Also, flossing with your woman means that you pedastalize her and that her value is higher than yours.. And this is not how you approach these kinds of things, let the woman floss with you, not the other way round.

You're the one with the money and value, not her so she should be the one flossing with you. All she has is a wet hole with great packaging, but she's still a bill you've got to foot.

I'm very disappointed! Mimi ni kijana wa miaka 29, ukiwashauri hvyo vijana wadogo chini ya miaka 25 utawapoteza. Boresha Maisha kwa ajili yako na sio kwa ssb ya wanawake wakupende hayo acha yawe ziada, yatakuja yenyewe. Be content with your life, Period!

 
Hakuna sehemu mtoa mada amepinga mwanamke kutafuta,.. amesema licha ya kutafuta kwake(mwanamke) lakini ameumbwa kupokea

Kiuhalisia kabisa na kibiblia(Naamini katika Biblia) mwanamke ameumbwa
Lakini pamoja na kufight kwake bado asili yake Ni kupewa na SI kutoa..
Mwanaume asili yake Ni mtoaji,provider,kichwa...

Mwanamke kutafuta pesa anafanya kwa mapenzi yake mwenyewe lakini siyo kazi yake.

Huko Pemba wako sahihi Sana...haya mabadiliko yamesababisha mwanaume kuanza kupoteza nafasi yake maana mwanamke anatoka kwenye nafasi Yake na kwenda kufanya katika nafasi ya kwanaume nadhani matokeo yake yanaonekana wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa kabisa ..

Position yako haswaa katika maisha halisi ni ipi

Unafurahi kupokea au kutoa na kupokea
 
Haiwezekani kufanyika both ways,

Wanaume wanapenda sex

Wanawake wanapenda kuonyeshwa kujaliwa..

kuna exceptions for some though...
Becky hivi ukijua mwanaume anapenda sex na ukatumia sex kupata unachokitaka kama hizo gharama za kila siku. Unakuwa na tofauti gani na mtu anayejiuza mwili wake
 
Upo sawa kabisa ..

Position yako haswaa katika maisha halisi ni ipi

Unafurahi kupokea au kutoa na kupokea
Kupokea kama ilivyo asili yangu japo sijawahi kuomba.
Kutoa pale inapobidi maana mwanaume nae Ni binadamu na Kuna Muda anapita kwenye changamoto

Licha ya kutafuta ambako ni ziada kwangu,lakini nafasi yangu Ni ya usaidizi(mke)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini unadhani wanawake 'WENGI' as you put it wanapendea wanaume pesa???

Wengi maanake ni majority..

Na ukishaona kitu persistent kinatokea kwenye jamii...mie huwaga nachukulia ni kama trait ama survival instinct.. LOL


ila ndio hali halisi,hata wanyama tuna share nao this instinct...

sijui niliona wapi,ila mnyama male yule aliye agressive ndio female wanawapenda, ni sign ya kuwa protective..female anafeel kuwa protected...na pia huyo mnyama anaweza kuleta resources bila kuuwawa na hivyo..watoto wa huyu female wana uhakika kukua........so hio protection/resources .kwetu wanadamu ni sawa na pesa...LOLSSSSSS.....

Sijasoma thread wala hii post yako, ila naunga mkono hoja.
 
Ndiyo maana tunasema pesa na mapenzi vinaenda sambamba.
Wanaume watafute pesa kama alivyosema lizarazu
Huyo sasa itabidi akae nyumbani afanye kazi za ndani ili kusudi mie nitafute pesa nimlishe yeye na watoto,, na akileta ujuaji naacha kumlisha namuambia akatafute zake..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pay some respect to that "wet hole" that brought you into this world you ungrateful twat
So you're technically saying tutafute pesa and waste it on women? Sorry mate, that's a direct route to poverty and misery. Money/Wealth is the mission and women are simply bonuses not the main agenda.

Also, flossing with your woman means that you pedastalize her and that her value is higher than yours.. And this is not how you approach this things, let the woman floss with you, not the other way round.

You're the one with the money and value, not her so she should be the one flossing with you. All she has is a wet hole with great packaging, but she's still a bill you've got to foot.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mtoto naomba usinichonganishe na kaka yangu kwanza nilivyommiss hivi hadi kuna siku nikamlilia,, hivi haukuona ule uzi wa sweetielee unahusu sijui kuingilia mahusiano ya watu..

Tulikuwa mimi cute b lizarazu na relief mirzska aise ile siku tulichat vizuri jamani hadi hawakuamini wakaanza kunishangaa eti kumbe naweza kuwa cool kiasi kile,, walikuaga wananiona mie ni mtu serious sababu ya yale magazeti yangu nikawaambia nahi nahi mimi ni mtu wa matani sana neno serious kwangu ni vocabulary na hata wewe unajua hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ule Uzi juzi Kati hapa nilikaa nikausoma comment moja baada ya nyingine,,nikafurahi nikacheka nikatabasamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imbombo ngafu tena siyo kidogo,, mie mwanaume ambaye situmii pesa zake wallah jikoni tutaingia wote mimi nikipika yeye anaosha vyombo sitaki ujinga kabisa.. hataki tunakula mawe akichepuka haya akiniacha fresh,, I'm Okeeeeii with everything

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa jamani si kuna wale ambao wanajitahidi kadiri ya uwezo wao ila tu ndiyo riziki mafungu saba,, wewe umemsemea mwenye ambaye anaonekana kabisa ni mvivu yaani fursa hizi hapa ila zinampita huku anaziona huyo wa hivyo sasa ni special case..
Ndiyo maana tunasema pesa na mapenzi vinaenda sambamba.
Wanaume watafute pesa kama alivyosema lizarazu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom