Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Amen madameNi kweli mapenzi sio pesa ila mapenzi na pesa ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen madameNi kweli mapenzi sio pesa ila mapenzi na pesa ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana.
Pay some respect to that "wet hole" that brought you into this world you ungrateful twat
Sent using Jamii Forums mobile app
😂☺️😍
Mwanaume anayehangaika kutafuta anajulikana na zembe nyanya anajulikana..Sasa jamani si kuna wale ambao wanajitahidi kadiri ya uwezo wao ila tu ndiyo riziki mafungu saba,, wewe umemsemea mwenye ambaye anaonekana kabisa ni mvivu yaani fursa hizi hapa ila zinampita huku anaziona huyo wa hivyo sasa ni special case..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua huwa siendi tofauti na hoja yako, anytime of the day.
So huwa na acknowledge kuikubali kabla hata ya kuisoma.
Happy New Year.
Mbavu zangu Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sio mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe, atabadilika tu na yeye... Tumpe muda..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You are such a darling and I love you..Lol
Happy new year to you too.
Acha kumsingizia Jael[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajua Jael ndiyo ananifundisha haya majibu,, mfano kama hapo niliposema wanakuwa vilema ghafla ni yeye ndiye aliwahi kumuambia mtu hivyo.. nilicheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anayehangaika kutafuta anajulikana na zembe nyanya anajulikana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikupe mfano kuna siku nilifika kwenye kituo fulani cha boda boda sehemu niliyokuwa naenda nauli yake ni 5000 nikafika nikakuta watu wamekaa kwenye ka bar ka pembeni wanacheck mpira
Nikamuita dereva mmoja wa boda boda akaniambia nimtafute dereva mwingine eti kisa yeye anaangalia mpira
Nilishangaa sana nikajiuliza hivi hadi huo mpira uishe atakuwa amepoteza sh ngapi halafu unakuta kama ana familia na yeye akirudi nyumbani anamuambia mkewe amvumilie maisha ni magumu
Saa nyingine hawa wanaume nao siyo wa kuwatetea sana hatujui ujinga wanaoufanya huko wanakosema wanaenda kutafuta pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasingiziwa mimi[emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajua Jael ndiyo ananifundisha haya majibu,, mfano kama hapo niliposema wanakuwa vilema ghafla ni yeye ndiye aliwahi kumuambia mtu hivyo.. nilicheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..Nikupe mfano kuna siku nilifika kwenye kituo fulani cha boda boda sehemu niliyokuwa naenda nauli yake ni 5000 nikafika nikakuta watu wamekaa kwenye ka bar ka pembeni wanacheck mpira
Nikamuita dereva mmoja wa boda boda akaniambia nimtafute dereva mwingine eti kisa yeye anaangalia mpira
Nilishangaa sana nikajiuliza hivi hadi huo mpira uishe atakuwa amepoteza sh ngapi halafu unakuta kama ana familia na yeye akirudi nyumbani anamuambia mkewe amvumilie maisha ni magumu
Saa nyingine hawa wanaume nao siyo wa kuwatetea sana hatujui ujinga wanaoufanya huko wanakosema wanaenda kutafuta pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka kawa sio yule wa mwaka janaMbavu zangu Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnakuwa nao wa Nini hao slayqueen?Mke anahudumiwa ila sio hivi vi slayqueen wannabe
Your life your choice babalai, no one can shove their choices on you. Btw, hii mada imewalenga zaidi walalamikajiWenye hela za kuhonga wahonge, wanaolalamika vizinga walalamike, wanaopotezea wapotezee. Hakuna kupangiana maisha maana kila mtu anatafuta kwa jasho lake.
Umenena mjombaI always say.
Mapenzi ya kweli ni upendo + Uaminifu na kujali. Pesa si mapenzi ila mapenzi yanahitaji back up na foundation ya pesa ili kuendesha mahusiano yenu.
Hutafurahia mapenzi yako kama huna pesa hata kama mdada anakupenda kiasi gani..You'll always be insecure begging for mercy.
Hakuna mapenzi ya kuoneana huruma, Kijana tafuta hela upate mapenzi ya kweli.
Utakosa hata bando la buku kuchat na mpenzi wako..Saka pesa, mapenzi ya kweli yatakusaka