Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Sasa jamani si kuna wale ambao wanajitahidi kadiri ya uwezo wao ila tu ndiyo riziki mafungu saba,, wewe umemsemea mwenye ambaye anaonekana kabisa ni mvivu yaani fursa hizi hapa ila zinampita huku anaziona huyo wa hivyo sasa ni special case..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anayehangaika kutafuta anajulikana na zembe nyanya anajulikana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajua Jael ndiyo ananifundisha haya majibu,, mfano kama hapo niliposema wanakuwa vilema ghafla ni yeye ndiye aliwahi kumuambia mtu hivyo.. nilicheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sio mzima

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe mfano kuna siku nilifika kwenye kituo fulani cha boda boda sehemu niliyokuwa naenda nauli yake ni 5000 nikafika nikakuta watu wamekaa kwenye ka bar ka pembeni wanacheck mpira

Nikamuita dereva mmoja wa boda boda akaniambia nimtafute dereva mwingine eti kisa yeye anaangalia mpira

Nilishangaa sana nikajiuliza hivi hadi huo mpira uishe atakuwa amepoteza sh ngapi halafu unakuta kama ana familia na yeye akirudi nyumbani anamuambia mkewe amvumilie maisha ni magumu

Saa nyingine hawa wanaume nao siyo wa kuwatetea sana hatujui ujinga wanaoufanya huko wanakosema wanaenda kutafuta pesa
Mwanaume anayehangaika kutafuta anajulikana na zembe nyanya anajulikana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe mfano kuna siku nilifika kwenye kituo fulani cha boda boda sehemu niliyokuwa naenda nauli yake ni 5000 nikafika nikakuta watu wamekaa kwenye ka bar ka pembeni wanacheck mpira

Nikamuita dereva mmoja wa boda boda akaniambia nimtafute dereva mwingine eti kisa yeye anaangalia mpira

Nilishangaa sana nikajiuliza hivi hadi huo mpira uishe atakuwa amepoteza sh ngapi halafu unakuta kama ana familia na yeye akirudi nyumbani anamuambia mkewe amvumilie maisha ni magumu

Saa nyingine hawa wanaume nao siyo wa kuwatetea sana hatujui ujinga wanaoufanya huko wanakosema wanaenda kutafuta pesa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hivi kuna mpira Arsenal anacheza na Leeds, ukiisha tutakuja kuijadili hii topic.
 
Nikupe mfano kuna siku nilifika kwenye kituo fulani cha boda boda sehemu niliyokuwa naenda nauli yake ni 5000 nikafika nikakuta watu wamekaa kwenye ka bar ka pembeni wanacheck mpira

Nikamuita dereva mmoja wa boda boda akaniambia nimtafute dereva mwingine eti kisa yeye anaangalia mpira

Nilishangaa sana nikajiuliza hivi hadi huo mpira uishe atakuwa amepoteza sh ngapi halafu unakuta kama ana familia na yeye akirudi nyumbani anamuambia mkewe amvumilie maisha ni magumu

Saa nyingine hawa wanaume nao siyo wa kuwatetea sana hatujui ujinga wanaoufanya huko wanakosema wanaenda kutafuta pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..
Ndiyo,hawatakiwi kuonewa huruma Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I always say.
Mapenzi ya kweli ni upendo + Uaminifu na kujali. Pesa si mapenzi ila mapenzi yanahitaji back up na foundation ya pesa ili kuendesha mahusiano yenu.
Hutafurahia mapenzi yako kama huna pesa hata kama mdada anakupenda kiasi gani..You'll always be insecure begging for mercy.

Hakuna mapenzi ya kuoneana huruma, Kijana tafuta hela upate mapenzi ya kweli.
Utakosa hata bando la buku kuchat na mpenzi wako..Saka pesa, mapenzi ya kweli yatakusaka
Umenena mjomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom