MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume wa dar watanishambulia hapa hapatakalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la kuwawin wanawake haliwezi kuwa motivation yangu ya kutafuta hela. Wengi wanaoletwa na hela zako ni wanawake ambao huwahitaji labda kugegeda tu. Mwanamke anayekufaa atavutiwa na struggle zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukinifanyia hivyo, na mimi siku tukivamiwa na vibaka basi hao vibaka tutashirikiana kupigana nao wote na wala usilete habari za kujificha uvunguni[emoji2957][emoji2957]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa mikoani hawaogopi kitu chochote zaidi ya Mungu na wanaume wa mikoani ..we ongea tu [emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka nishambuliwe eeeh!?!
Don mwenyewe amenishambulia hapo juu kwa sababu anaishi dar..japo yeye mikoani anakujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanijaza upepo eeh??[emoji23][emoji23]Wanawake wa mikoani hawaogopi kitu chochote zaidi ya Mungu na wanaume wa mikoani ..we ongea tu [emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tusizake kwa udi na uvumba japo shida ni hiyo mentality yao ya zisakeni Sana ili mutupe kana kwamba hatuwez kuzisaka tukiwa pamoja.Statistically about 85% of all the monies in this world is earned by men but more than 75% of those monies is spent by women.
Hivyo basi hata hao wanawake wa kizungu wanahongwa na wanadanga kama kawa tu maana wanatengeneza sehemu ndogo sana ya income earners.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini unadhani wanawake 'WENGI' as you put it wanapendea wanaume pesa???
Wengi maanake ni majority..
Na ukishaona kitu persistent kinatokea kwenye jamii...mie huwaga nachukulia ni kama trait ama survival instinct.. LOL
ila ndio hali halisi,hata wanyama tuna share nao this instinct...
sijui niliona wapi,ila mnyama male yule aliye agressive ndio female wanawapenda, ni sign ya kuwa protective..female anafeel kuwa protected...na pia huyo mnyama anaweza kuleta resources bila kuuwawa na hivyo..watoto wa huyu female wana uhakika kukua........so hio protection/resources .kwetu wanadamu ni sawa na pesa...LOLSSSSSS.....
Sasa kwanini unataka mimi niendelee kuosha vyombo wakati na wewe upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinifanyia hivyo, na mimi siku tukivamiwa na vibaka basi hao vibaka tutashirikiana kupigana nao wote na wala usilete habari za kujificha uvunguni[emoji2957][emoji2957]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo..Sawa kwahiyo huyo mwanaume wa hivyo hata kama ni tajiri bado utamuona kuna kitu anakosa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote Tisa,kumi hakuna Uzi ulivunja rekodi ya kubishana Kama ule wa nyenyere wa singo mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mashambulizi yote uliyamudu,nikiukumbuka ule natamani hata nikununulie soda unywe.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaa unasubiri nini sasa kwani namba yangu hauna au [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] tena fanya haraka maana nina kiu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili zenu bangi Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]