MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Daah we ni waifu materials kabisa ila sasa hayo uliyoyasema wachache wako hvo
Tatizo wenzako wanataka watukwangue kabisa watuchune mpaka basi yaani in short wanapenda pesa kuliko mfuko hilo sikatai tutawapa tu ila sasa kuwe na karoho ka utu basi siku nikikwama unavumilia lakini nyinyi ni nduki [emoji3] Rebeca 83,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wenzako wanataka watukwangue kabisa watuchune mpaka basi yaani in short wanapenda pesa kuliko mfuko hilo sikatai tutawapa tu ila sasa kuwe na karoho ka utu basi siku nikikwama unavumilia lakini nyinyi ni nduki [emoji3] Rebeca 83,
Sent using Jamii Forums mobile app