Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
Ahaaa ahaaa Elia taarifa zako za ki-interijensia nimezikubali aisee inahusika sana popote muhimu mawasiliano mkuu
Nita kutafuta mkuu maana napenda pilika za Tip Top..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa ahaaa Elia taarifa zako za ki-interijensia nimezikubali aisee inahusika sana popote muhimu mawasiliano mkuu
The Finest; Savanah, lunch time au ???? Nibonyeze ni dandie msafara
Pole Lizzy!
Nadhani hii ni kukosa kazi, uvivu na kutokuwa na chakufanya. hivi mwanaume unakosa cha kufanya au story ya kukoleza kijiwe mpaka ufikie hapo? Ongelea soka basi! kama huzijui Arsenal na manchester hata yanga na simba au manyema fc, kuna vitu vingi vya kuongea siasa, dini, maisha kwa ujumla, magonjwa, nk nk. Ushauri wangu; hao sio wanaume suruali wanunulieni sketi.
Fidel kesho Jumatano usiku wa khanga moja mbendembende hauendi kuangalia khanga zilizolawanishwa na majiUkisha piga kote huko unaenda kusuuza macho pale Silver kwa show kali.
Kaka I did ze nidiful.
Tatizo lenu acheni kujisifia sana kwani mkikaa kimya mtapungukiwa nini??
Hajapewa anatangaza je akipewa itakuwaje?? anaweza akaenda BANGO TBC1 haifai.
Mi nimemjibu yeye kuendana na matakwa yake.
Kiwango changu siwezi kukiweka hadharani ili siku nikatafuta mchumba humu visharobaro visiniletee usanii!
Eti Lizzy... hivi mzee wa busara ni mwanaume gani??
halafu kumbe wewe unapenda mwanaume pochi... dah, safari ya kumkomboa mwanamke hata kuanza bado kama ni hivi
Ukisha piga kote huko unaenda kusuuza macho pale Silver kwa show kali.
Fidel kesho Jumatano usiku wa khanga moja mbendembende hauendi kuangalia khanga zilizolawanishwa na maji
Fidel kesho Jumatano usiku wa khanga moja mbendembende hauendi kuangalia khanga zilizolawanishwa na maji
Na kitopu kitovu nje
Kesho mpwa lazima nitinge Club continental si umesema Alhamisi ni public day basi mm week end naanza leo.
Fidel kesho Jumatano usiku wa khanga moja mbendembende hauendi kuangalia khanga zilizolawanishwa na maji
...duh, LIZZY pole bana. Huenda jamaa kanogewa halafu alikuwa hajiamini aweza kupata mrembo kama wewe. Mvumilie bana, akishakuoa ataacha.
Tatizo unacheka afu unasahau kale kakitu ketu....mwone kwanza.
Lizzy ananichanganya bana, sijui anataka tuvae sketi tuitwe mashoga? Mi ntabakia dume suruwale, bila kujali chochote ili mradi baioloji yangu inafanya kazi.
hehehe mwalim wangu wa jiografia aliniambia mwanamke akisema zamu yako basi kaa mkao wa kula, kuna neema inakuja. tusemeni amen.
Hiyo siku inaweza isifike maana wakati unatafuta humu, inawezekana we pia unatafutwa humu na kwingine. So kabla hujapata, unaweza kuwa umeshapatikana...
Aisee usiniache kuna jamaa yangu alipigwa marufuku na wife wake kwenda huko Club Continental jamaa akimwambia basi twende wote na yenyewe hataki ahaaa ahaaaa ahaaaaKesho mpwa lazima nitinge Club continental si umesema Alhamisi ni public day basi mm week end naanza leo.
Usikose keshoOooh, My Broda! I missed dis!
Mkuu bwana mi pochi ya mtu sicho nnachoangalia.....hata signecha yangu inajieleza!!!
Kuhusu mwanaume busara ni yule anaetumia busara kwenye maamuzi yake...anaifikiria kwanza ili hata akianguka asimsingizie shetani!
Kwahiyo wapi huwa hamna wanaume suruali? na wanawake ndevu?
Silver?
Club Continental?
Villa Park?
Muleba (my favourite!)?