Umeona wapi raisi anafanya campaign baada ya kushinda uchaguzi ??? Tehe iko hvyo tu..Lol
Ifike wakati watu wote wanaume kwa wanawake watambue kwamba ngono ni starehe kama starehe zingine (as long as ni mtu mzima na unajitambua) its no point mnazungushana weee na kupotezeana wakati na pesa bila returns zozote. Nikitupa mistari ikamuingia mtoto....kinachofuata ni kulana uroda tu.
Kama nampenda na kutaka awe mwenzi wangu wa maisha nitamueleza ukweli. Alaf wanawake wengi hawajui tu, kua wife material its simply the way mwanamke anavyo jiweka i.e. Dressing, interlect, vision, manners, loving etc. Akiji establish kama mke mwema automatically men wud be attracted nd wud treat her more seriously nuthn mysterious.