mou b
Member
- Aug 4, 2013
- 66
- 18
MI naona Waliwe tu.. eeh maana hakuna nmna nyingine sasa.
Eee namna haipo hapo
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MI naona Waliwe tu.. eeh maana hakuna nmna nyingine sasa.
inakuwa hivi ss wanaume tunavyo mtongoza mwanamke kwanza tunakuwa na tamaa ya kula mzigo kwanza zeni mapenzi badae.sasa unakuta nwanamke anakuzungushaaa weeee unamnyenyekeaa weee zen badae anakuvulia chupi unakula MZIGO
kumbuka inakuwa mwanzo mwanamke anasumbua cna tena cna sasa badae nikila mzigo zamu inahamia upande wa pili unamchunia nayeye aumie kidogo na awe mtumwa wakati huo yy nd anaanza kukupenda kwakuwa umeisha mvua chupi hana jinsi wakati huo nass nd tunaanza kulinga coz umeishanisumbua muda cna
so kuwen katikat tusisumbuane tangu mwanzo itakuwa poa cn
Umeona wapi raisi anafanya campaign baada ya kushinda uchaguzi ??? Tehe iko hvyo tu..Lol
Ifike wakati watu wote wanaume kwa wanawake watambue kwamba ngono ni starehe kama starehe zingine (as long as ni mtu mzima na unajitambua) its no point mnazungushana weee na kupotezeana wakati na pesa bila returns zozote. Nikitupa mistari ikamuingia mtoto....kinachofuata ni kulana uroda tu.
Kama nampenda na kutaka awe mwenzi wangu wa maisha nitamueleza ukweli. Alaf wanawake wengi hawajui tu, kua wife material its simply the way mwanamke anavyo jiweka i.e. Dressing, interlect, vision, manners, loving etc. Akiji establish kama mke mwema automatically men wud be attracted nd wud treat her more seriously nuthn mysterious.
Basi ni bora mkubaliane tangia mwanzo ili asi expect sana