mi nafikiri sababu kubwa ya hit and run
1.KUTOKUZUNGUMZA AU KUTOKUWA NA MAWASILIANO YA WAZI BAINA YA WENZA mi huwa naamini mpaka mtu akufate basi amekupenda au mpaka mtu aombe gemu basi amekupenda lakini hii tabia ya wenza kuwa mabubu ina kost
mnaingia kunako viwanja vya mautamu hakuna anaesema lolote mwanamke anasubiri umvue nguo uingize umpe ela akafue chupi
mwanaume the same applied anasubiri kama hata angalau unaeza mpa blowjob HAPO AONGEI ANAKUA ANAWAZA NA KU IMAGNE TU KWAMBA MIUJIZA ITATOKEA mwisho wa siku kila mtu anatoka pale lakini mwanaume anasema hapana huyu mwanamke ni sura tu lakini hajui lolote ngoja hata ni tafute malaya
maana trust me kinachofanya
mwekundu unitongoze ni nini kama sio making love????? maana unakuuta kila mtu ana uwezo wake lakini iweje muungane au muishi pamoja ni kwa sabbu ya mapenzi
ila sasa KUNA WANAWAKE KUKWAMBIA NAOMBA ELA YA SALUNI WALA AWAZI MARA MBILI ILA KUKUULIZA NIKAAJE ILI UMPATE JOJINA VIZURI WAKATI WA MECHI HAJAWAHI HATA KUWAZA KUSEMA HIVYO HATA SIKU MOJA
NA HII SIO KWENYE MAKING LOVE TU pia katika mambo mbalimbali ya kawaida
unakuta mwanamke kumwambia mwanaume sipendi ukila uwe unabonyeza sim anaona kama nitamfanya akimbie au mambo yanayofanana na hayo
katika hili KWA WANAWAKE ili kuepusha hili unavyokutana na mwanaume kwa mara ya kazi kazi yako ni moja tu KUMTENGENEZEA MAZINGIRA ILI UWE HURU KUZUNGUMZA NAE
NAWANAUME USIWE RIGID ongea na mwenzako UTARUKA MPAKA LINI?????? au mpaka ukutane na yenye meno??????
2.stress za maisha ikiwemo pesa hapa ina kuwa kwa wote kuna wanawake kitu cha kwanza anachokiwaza ampatapo mwanaume ni PESA my dear hiyo tabia itakuwa katika akili yako mwishon utaionesha dhahiri na mwishoni UTAKIMBIWA
na pia WANAUME sio kila muda tu unawaza kutafuta pesa hii inakupunguzia performance na pia itakufanya umchukie mpenzi wako Ukiwa nae embu funga faili hilo
KAMA UNATAFUTA ELA BILA KU ENJOY ANGALIA USIWE PUNDA HADI KUFA KWAKO
3.nimechoka mkono nitarudi baadae