Wanaume tuelimishane ulinzi, ni silaha gani nje ya bunduki ni nzuri kuimiliki sehemu unayoishi?

Mkuu sehemu zenye nyumba mbalimbali ndio hatari zaidi kwa majambazi
 
Mkuu sehemu zenye nyumba mbalimbali ndio hatari zaidi kwa majambazi
Nyumba ziko karibu karibu ila watu wa huku wamestaarabika. Hamna vigodoro wala ushenzi ushenzi. Sungu sungu wanakuja kuchukua mtonyo wao kila mwisho wa mwezi.
 
Ninapo lala nahakikisha nina weza nyoosha mkono na nikafikia mkuki na rungu.

Chini ya pillow nina kurunzi yenye mwanga mkali sana kiasi nikikumulika machoni usiku lazima upate wenge kwanza.
Hii imeenda
 
Ila mimi naishi kizembe sina silaha yoyote... nawaza mshale au mkuki na sime, japo bado sijavinunua.
 
Sijaona HIGH VOLTAGE.
Weka waya wako wa High Voltage kwenye possible points yaweza kuwa kwenye marisha ya Sebule au grill za Mlango wa Mbele ya Nyumba. Ukiwaskia tuuu. Ingia chemba weka Switch On wakigusa tuuu wameenda na Maji.
 
Panga tu lakimasai aka Ngomosi
 
tafuta uchawi tu hautajutia.

Hata hapo sebuleni hawatafika maana wakivuka tu geti lako wote nyuma wanaloa na wakijitia viburi lazima wapatwe na usingizi hapohapo sebuleni pamoja na kupigwa kipara wote.
[emoji848][emoji849]
 
mh
 
[QUOTE="
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na vibastola vya kuchezea watoto,vilikuwa vinauwezo wa kurusha maji kwa nguvu umbali wa takriban miter 8 hivi,hivi ukikipata ukaweka ndani yake substance inayofaa wezi wanakaa chini.
[/QUOTE]
kwenye vibastola nimekuelewa sana,ukiwa nako unakawekea tindikali au maji ya pilipil
 
Chupa za soda/bia + nyundo hakikisha haziwi mbali kila ulalapo
 
Kama utakuwa navyo hivyo vyote ambavyo vimetajwa hapo juu. MUHIMU tusisahau CONDOM ni muhimu kulinda afya zetu pia😎
 
Tisha sana aisee [emoji2]
 
🤣🤣🤣We jamaa fala sana yaani umenikumbusha mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…