Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
[QUOTE="
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
[/QUOTE]
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na vibastola vya kuchezea watoto,vilikuwa vinauwezo wa kurusha maji kwa nguvu umbali wa takriban miter 8 hivi,hivi ukikipata ukaweka ndani yake substance inayofaa wezi wanakaa chini.
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
[/QUOTE]
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na vibastola vya kuchezea watoto,vilikuwa vinauwezo wa kurusha maji kwa nguvu umbali wa takriban miter 8 hivi,hivi ukikipata ukaweka ndani yake substance inayofaa wezi wanakaa chini.