Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 309
- 1,273
DuuuhMimi nimenunua tundikali nimeiweka kwenye syringe na iko peaceful packed kwenye drawer ya MEZA ya kitanda.... yaani ukijichanganya naispray usoni chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuhMimi nimenunua tundikali nimeiweka kwenye syringe na iko peaceful packed kwenye drawer ya MEZA ya kitanda.... yaani ukijichanganya naispray usoni chap
Mkuu hizo siraha za chemical zimekatazwa na jumuiya ya kimataifa😂😀😀Mimi nimenunua tundikali nimeiweka kwenye syringe na iko peaceful packed kwenye drawer ya MEZA ya kitanda.... yaani ukijichanganya naispray usoni chap
Kama una idea ya UMEME hatua a kwanza ni kukipiga short kitasa cha chumbani,unaunga waya kwenye socket unagusisha kitasa ,akishika tu anajigroundChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Waweza weka pia chombo kama beseni chenye maji chumvi ,ukakipiga short pia ili muhuni wa kwanza akutane na uchawi wa mzungu,ukilegeza mmoja wengine wanapoteaChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Hahaha!. Nimecheka sana aisee.Kama huna pistol Mlango wa chumbani tengeneza uwe mfupi mtu asiweze kuingia bila kuinama alaf unalala na panga.
Akitaka kuingia tu unapiga panga ya shingo 1
Kuna nyumba nimeiona Mbezi Beach hajaweka grills bali madirisha tu na elwctric fence, cctv, SGA securitySilaha yangu kubwa ni kutokuishi Keko, Temeke, Vinguguti, Tandale, Mbagala na maeneo yote yasio na watu waliostaarabika. Hio ndio silaha ya kwanza.
Ya pili sipendagi vurugu vurugu kwahio sijiweki katika mazingira ya kutibuana na watu. Nahakikisha marafiki na jamaa ni wengi kuliko maadui.
Grill zinaharibu shape ya nyumba, material za hiyo milango na madirisha waweza kuta drill zinasubiri.Kuna nyumba nimeiona Mbezi Beach hajaweka grills bali madirisha tu na elwctric fence, cctv, SGA security
Pumba pumba pumba.Waweza weka pia chombo kama beseni chenye maji chumvi ,ukakipiga short pia ili muhuni wa kwanza akutane na uchawi wa mzungu,ukilegeza mmoja wengine wanapotea
Watanzania tubadilike, tuachane na grills tuwekeze kwenye mifumo na walinzi hata wa 300000 kwa mweziGrill zinaharibu shape ya nyumba, material za hiyo milango na madirisha waweza kura drill zina subiri.
Huyo ni mtu anaona mbali, kwa sababu wakizamilia kuingia ndani wanakuja na mitungi Mdogo ya gesi grill inalewa fast a tu wanaingia ndani, na kuna ile mikasi mkubwa inakata mpaka mondo.
Kikubwa kwenye maisha maintain low profile, na kama unataka uwe high profile basi uwe na pesa kweli unalindwa na system zote camera na security guards wenye silaha.
Kuna tajiri mmoja kariakoo anaitwa Imma mchaga wa Rombo amekaa sana kwenye nyumba za pale keko ambazo zimeingiliana na Polisi barracks kwa sababu ya usalama wake lakini hakuwa na hadhi ya kuishi keko.
Kuna kitu kinaitwa "Mitigation of risks" hauwezi kuzizuia hatari ila unaweza kutengeneza mazingira ya kuziepuka to some extent.Habari Extrovert
Mbona leo umeni disappoint kinoma!
Umeandika pumba kishenzi 😅 😅
Mbona hata sehem za ushuani majambazi huwa wanavamia kama kawa!
Msela wangu Hassan alivamia Goba.
Francis jembe langu alivamiwa Kimara Temboni (ingawa hakuwepo siku hiyo)
Kigamboni matukio ya kutosha!
Tena afadhali ushwahilini wanaingia vibaka wavaa yeboyebo.
Ushuani, majambazi/wezi wanaingia na silaha kabisa.
Kwamba kuishi vizuri na watu, ndio Kinga ya kutovamiwa?
Kwamba majambazi ni wale watu wenye ugomvi na wewe?
Hiyo Machete ni noma snaDaniel trejo "MACHETE"
This is the greatest of all time weapon since colonialism time
Niko na kambwa jamii ya manunu kana kelele hadi rahambwa mzuri ila si kila mtu anaweza kufuga
mbwa kazi kuu atasaidia zaidi kuwa kama alarm
Kuna tochi maalumu ambayo ukimulikwa nayo machoni huoni unaona maluweluwe nusu saa nzima,walikuwa wanatumia wanajeshi wa Marekani,sijui kama zimeishafika kwenye masoko kama Amazon.Umenena hapo, maana sikuhizi hata simu za mifukoni zina tochi.
Ila kuna mdau kachangia kwamba silaha yake mojawapo ni tochi yenye mwanga mkali, nadhani kwa tuliowahi kusoma shule za boarding tunajua zilivyotumika, usiku taa zikizimwa mtu akipigwa mwanga mkali anakula mikanda bila kujua inatoka wapi