The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
PichaSpring Knife na Ile Electric torch [emoji363].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PichaSpring Knife na Ile Electric torch [emoji363].
Dah! Aisee🤣 hii ipo vizuriKama huna pistol Mlango wa chumbani tengeneza uwe mfupi mtu asiweze kuingia bila kuinama alaf unalala na panga.
Akitaka kuingia tu unapiga panga ya shingo 1
Hyo speed utaitumia kukimbia juu darini au chumba kwa chumba?Binafsi silaha yangu ya kwanza ni kua peace na wengi wanaonizunguka!
Silaha ya pili ni miguu yangu nipo vizuri sana kwenye speed humu ndani wote mkafanye mazoezi miezi sita ndo mfikie robo ya speed yangu🤣
Silaha ya tatu ndo kama sime, panga na rungu
Silaha yangu kubwa ni kutokuishi Keko, Temeke, Vinguguti, Tandale, Mbagala na maeneo yote yasio na watu waliostaarabika. Hio ndio silaha ya kwanza.
Ya pili sipendagi vurugu vurugu kwahio sijiweki katika mazingira ya kutibuana na watu. Nahakikisha marafiki na jamaa ni wengi kuliko maadui.
Chukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Nyumbani ni ngumu kudakwa kizembe, ila speed inanisaidia kwenye majanga ya usiku mtaaniHyo speed utaitumia kukimbia juu darini au chumba kwa chumba?
Watoto tutazaa wengine 😆😆Nyie wenye mbio mnachekesha...sasa mtaacha watt wachinjwe ww uruke fensi utokomee kama Usain Bolt
Usiku hakuna ambae atatokamungu alijua ayo mambo yapo ndomaana akakupa sauti. iyo ndo silaha kubwa kuliko zote.
si unaonaga mtoto akizaliwa ni lazma alie kwanza? sasa iyo ndo silaha namba moja zingine zote zinafata baadae.
iyo sauti yako ndo silaha kubwa! km una sauti ndogo tumia filimbi!
wale wahalifu wa usiku ukiwapigia makelele lazma wapoteane.
🤣HahahahWe umetisha mbayaaa
Baba ukikazaa Sauti ya Kishindo kikiambatana na Kwikwi wanatoka mbonaaUsiku hakuna ambae atatoka
Navitafuta sana hivi vidude. Tena vile vinapiga shoti hata kama kasimama umbali wa mita tano hiviKanunue kifaa wanachotumiaga polisi kupiga shoti mtu..vinauzwa siku hizi..kariakoo vipo kibao..!!
Unavitumiaje hivi ndugu?Navitafuta sana hivi vidude. Tena vile vinapiga shoti hata kama kasimama umbali wa mita tano hivi
Vinapiga shoti kali sana kama za umeme (shock) hata mtu awe mbabe vipi!! Anakaa chini na kutii unachotaka!Unavitumiaje hivi ndugu?
Mimi nimenunua tundikali nimeiweka kwenye syringe na iko peaceful packed kwenye drawer ya MEZA ya kitanda.... yaani ukijichanganya naispray usoni chapChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.