Wanaume tujifunze kuishi na wanawake vizuri. Wanawake ni viumbe wema sana

Wanaume tujifunze kuishi na wanawake vizuri. Wanawake ni viumbe wema sana

Amri 10 zilitoka kabla ya Daudi/Suleiman hajazaliwa ama baada?

Halafu hizo Amri walipewa wayahudi ama Tulipewa watu wote?

Kwa nini ulete sheria za kiyahudi ama walizopewa wayahudi na sisi tusio wayahudi tuzitumie?
hapo kwenye Amri ukienda sana utafeli.

Muhimu ujue kama unavunja Amri ama Unazingatia Amri.
 
Chausiku ona sasa utamu wako wa mbususu unatolewa ushuhuda huku 🥲Anyway hongera mkuu
 
Kwa hiyo we kupewa Ch!U tu umeona kama umesaidiwa msaada na UN?
Kwamba ni kwa neema tu.🤔
 
Back
Top Bottom