Wapo wale watoka kazini saa 12... wanapita baa mpk usiku wa manane ndo wanarudi.
Nyumba zao wamegeuza mahali pa kubadilishia nguo...hlf wakistaafu wanataka familia iwe karibu nao.
Hatari kabisa. Tunalea matatizo alafu tunajidanganya yataisha bila kuchukua hatua sahihi. Haha.
Mimi hata urafiki na dereva wangu wa ofisini sitaki maana najua nikiacha hata kazi, hawezi kuendelea kuwa mtu wangu wa karibu. Itabaki tunapigiana simu kwa nadra sana.