Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia vigezo gani kujua huyu ni baba bora, mkwe bora, na ndugu bora.Same applies to ladies
Wachagulie wanao baba bora, mkwe bora kwa wazazi wako, shemeji bora kwa ndugu zako, na best friend kwako.
Binadamu hubadilika, omba Mungu akupatie mke mwenye hofu ya ki Mungu ndani yake.
Hayanaga mwongozo ausio!
akikuzidi kipato ndiyo utaelewa na vituko vinaanza akiwa na watoto wawili akikuzalia watatu amekuvumilia sana!Inategemea
Labda tujiulize tatizo ni ajira au tatizo ni tabia ya mwanamke mwenyewe?
Umewashauri wenzio vizuri Sana mkuu.This matter of marriage is a collective responsibilitySame applies to ladies
Wachagulie wanao baba bora, mkwe bora kwa wazazi wako, shemeji bora kwa ndugu zako, na best friend kwako.
Siku hizi kupata mke/ mume Bora Ni shughuli pevu Sana kwa Kweli.
Dunia imechafuka Sana.
Umewashauri wenzio vizuri Sana mkuu.This matter of marriage is a collective responsibility
akikuzidi kipato ndiyo utaelewa na vituko vinaanza akiwa na watoto wawili akikuzalia watatu amekuvumilia sana!
Hayanaga mwongozo ausio!
Inapendeza sana thou
Money is an "irreducible minimum" of a man.Suala la pesa halihitaji kujadiliwa kwa sababu mwanaume lazima uwe na hela za kumhudumia mkeo.Kwa hiyo waache kuzingatia maokoto tu peke yake sio?
Money is an "irreducible minimum" of a man.Suala la pesa halihitaji kujadiliwa kwa sababu mwanaume lazima uwe na hela za kumhudumia mkeo.Kwa hiyo waache kuzingatia maokoto tu peke yake sio?
ni swala la muda tu au ujifanye kondoo haswa kila utakaloambiwa ufateTabia anayoonyesha baada kukuzidi kipato ndiyo tabia yake halisi jinsi alivyo. Wa aina hii haihitaji hata akuzidi kipato wewe fulia tu utaona
Ndiyo maana wengine hata akikuzidi kipato hawezi kubadilika kwa sababu siyo tabia yake.
Jiulize wale wanaowaoa wanawake wenye kipato zaidi yao au mabinti wanaotokea familia tajiri wanawezaje kuishi maisha ya ndoa
Money is an "irreducible minimum" of a man.Suala la pesa halihitaji kujadiliwa kwa sababu mwanaume lazima uwe na hela za kumhudumia mkeo.
Upo?
Kabisa mkuuUmewashauri wenzio vizuri Sana mkuu.This matter of marriage is a collective responsibility
Upo sahihiHilo liko wazi
Nilichomaanisha wanawake wengi wako radhi waolewe na a guy who's financially stable despite the fact he lacks qualities that make a man an ideal husband