Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

😀😀😀😀😀 boss mwanaume kunyanduliwa mke ni kosa ambalo halina msamaha
Kwa nini lisiwe na msamaha? Kila mwanaume duniani anagongewa kungekuwa hamna msamaha si kungekuwa hamna ndoa dunaiani. Watu wake zao wanazalishwa kabisa na mwanaume mwingine na wanasamehe sembuse kugongewa tu na haondoki na chochote
 
unadhani condom boss, hapo mtu kapigwa nyama tu na akipatikana mtoto basi mume ataambiwa wake🙁🙁
Maradhi yamuache mtu salama? EEE dunia tu kumbuke unaenda kwa kasi sana, tabia ya kula wake za watu , kuna mtu anaiNANI MAPUA katolewa pua na mwenye mke [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa nini lisiwe na msamaha? Kila mwanaume duniani anagongewa kungekuwa hamna msamaha si kungekuwa hamna ndoa dunaiani. Watu wake zao wanazalishwa kabisa na mwanaume mwingine na wanasamehe sembuse kugongewa tu na haondoki na chochote
😳 😳 😳 😳
Zoë huyu hapa husband material

lakini hapo kwenye kugongewa boss sikubishii maana hawa wake zetu wananyanduliwa sana
 
Maradhi yamuache mtu salama? EEE dunia tu kumbuke unaenda kwa kasi sana, tabia ya kula wake za watu , kuna mtu anaiNANI MAPUA katolewa pua na mwenye mke [emoji23][emoji23][emoji23]
H.I.V sio ishu siku hizi watu wanatembea na H.I.V test kwenye gari zao
Changamoto ni kunyanduana kwa hawa wanandoa na Ma - ex zao
 
wake za watu wanaongoza kwa kugongwa siku hizi na ni very cheap.. hawahitaji gharama
 
H.I.V sio ishu siku hizi watu wanatembea na H.I.V test kwenye gari zao
Changamoto ni kunyanduana kwa hawa wanandoa na Ma - ex zao
Kwahiyo kila mara atakuwa anapima? Na je kumbe huyo anajitambua kama anao anakubali basi! Au umepima Leo kesho kaupata huko unazani mtapimana kila siku? Dawa nikuacha uzinzi tu.
 
Kwahiyo kila mara atakuwa anapima? Na je kumbe huyo anajitambua kama anao anakubali basi! Au umepima Leo kesho kaupata huko unazani mtapimana kila siku? Dawa nikuacha uzinzi tu.
sio uzinzi tu waache kula wake za watu.
 
Siwezi kuandika kitu hapa maana ma-Ex wangu wote wanalijua jina hili... Sitaki wajue kama bado nawakula kwa zamu hahaa
 
nakupa onyo maana nowdays tukiwakuta.. kaburi sebure 😛
[emoji851][emoji851][emoji851] tatizo M ndiyo huanza K akichoka basi, mara nyingi wanaume hubadiliisha sana tabia za wake zao, akipata mchele mpaka anasahau majukumu nyumbani.
 
[emoji851][emoji851][emoji851] tatizo M ndiyo huanza K akichoka basi, mara nyingi wanaume hubadiliisha sana tabia za wake zao, akipata mchele mpaka anasahau majukumu nyumbani.
wanaume wa kiafrika ndio zetu, lakini mke akichepuka hilo kosa malaika pekee ndio watakaotoa msamaha
 
Nikigundua na kupata ushahidi maridhawa,anakwenda tu,na yeye anajua kuwa jamaa hanifuatilii,Ila akigundua ndo byebye
 
Back
Top Bottom