Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Sasa umekula kavu jana unapima HIV kesho

Anyway nilikua naona kwa wagonjwa tu mpaka nilipokutana na husna kimodo dadekii
Yani kabla ujakojoa unalia mchozi
Mungu aniepushie huo ugonjwa aisee dah siamini kama unaweza kukojoa dagaa 🤣🤣🤣
 
Kwaio gono kumbe hata ukipiga katelelo unalipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…