Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Sasa umekula kavu jana unapima HIV kesho

Anyway nilikua naona kwa wagonjwa tu mpaka nilipokutana na husna kimodo dadekii
Yani kabla ujakojoa unalia mchozi
Mungu aniepushie huo ugonjwa aisee dah siamini kama unaweza kukojoa dagaa 🤣🤣🤣
 
Unapata ishu ipo pale unapoivua... Inashauriwa kuivua kuanzia kwenye Shina la uume huku ukiipindua ndani nje... Kama Kuna maji jirani inashauriwa unawe kwanza mikono na sabuni kabla ya zoezi la kuvua

Kama mwanamke haumuamini epuka mgusano wowote wa uume wako na sehemu za Siri zake kabla ya tendo la ndoa, kwani unaweza kuvaa condom kipindi uume wako ulishakutana na majimaji ya ukeni, kwahyo inakua kazi Bure, na hapa wanaume wengi ndio wamelia
Kwaio gono kumbe hata ukipiga katelelo unalipata
 
Back
Top Bottom