Ndioo maana yake kwa mujibu wa maelezo ya watu humu jf. Sasa aijui tugegedane bila kushikana ama vipi sielewiKwaio gono kumbe hata ukipiga katelelo unalipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioo maana yake kwa mujibu wa maelezo ya watu humu jf. Sasa aijui tugegedane bila kushikana ama vipi sielewiKwaio gono kumbe hata ukipiga katelelo unalipata
Uko kote ulikuwa unazulula kutafuta gono lilokolea sana 😂😂 ila bado tuzo moja tu ya ukimwiMbona mnawasingizia wa manzese jamani ? Mie gono la kwanza nilipatia harare, la pili mwanza gono mara ya tatu nilipatia kijichi
Mbona ngoma ninayo mwaka wa 16 sasaUko kote ulikuwa unazulula kutafuta gono lilokolea sana 😂😂 ila bado tuzo moja tu ya ukimwi
Suala ni wewe kugusanisha uume wako kwenye uwazi wa uke kazi kwisha.Kwaio gono kumbe hata ukipiga katelelo unalipata
😅😅 la dom kaa nalo mbali, nimezunguka sana hii tanzania.. nimepita kwingi sana.. ila nikajikuta dom kitu kimeitikaaa.. hadi nikaamua kuitoa kabisa kwenye orodha yangu ya kutuliza moyoo huwa napaona kama eboraYani hadi mnajua la wapi ni kali😂😂@Mzee wa kupambania hebu njoo utoe ushuhuda maana we ni mwanaharakati mbobezi
Kwahiyo unaisambaza kwawengine?Mbona ngoma ninayo mwaka wa 16 sasa
Ndicho kilichobakia mwanawne kwani kuna lipi jingineKwahiyo unaisambaza kwawengine?
We ushakuwa mwenyekiti wa gonoWee sio wa kwanza wala wa mwisho kutaka kunichoma🤣🤣🤣🤣
Ila ukweli esemwe nyie mademu mnatupa sana gono mie nimepata gona mara tatu
Piga kelele kwa dom yake wewe😂😂😂itabidi miji yote iwe hivyo ndo mtaacha umalaya😅😅 la dom kaa nalo mbali, nimezunguka sana hii tanzania.. nimepita kwingi sana.. ila nikajikuta dom kitu kimeitikaaa.. hadi nikaamua kuitoa kabisa kwenye orodha yangu ya kutuliza moyoo huwa napaona kama ebora
Ukichelewa kutibu ile inaweza kukufanya HanithiKunakuwa na gundi pale mbele.....afu ule usaha usipowahi kutibiwa unakuwa wa kijani[emoji2961]
Hamna yani mngekuwa mkija na hayo magono nawachagulia sindano zile kubwa kubwa,,Wee unataka kuwachoma watu sindano tuuu
Sema unataka kuchungulia matakoz yetu ambayo hayajapakwa vaselineHamna yani mngekuwa mkija na hayo magono nawachagulia sindano zile kubwa kubwa,,
😅😅😅 msitufanyie mtima nyongo sasaaaaa... kwingine naona fresh maana wengine sie ni team nyama nyamaa nayamaa nyamaa tuuu.. ingekuwa kila mahala si tungeanza tembea na vichupa vya dawa na sindano ... unajipiga dose tuPiga kelele kwa dom yake wewe😂😂😂itabidi miji yote iwe hivyo ndo mtaacha umalaya
Hapo mkojo unakata km viwembe hata mafuta hupaki,, yani nalichoma kwa hasira ukitoka hapo hurudiiiSema unataka kuchungulia matakoz yetu ambayo hayajapakwa vaseline
Hivi wnachoma sindano hapo hapo kwenye llibolo ama🤔Hapo mkojo unakata km viwembe hata mafuta hupaki,, yani nalichoma kwa hasira ukitoka hapo hurudiii