Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Mkuu achana na wanawake wachafu, jitambue kuwa na mmoja, amini ya kwamba haiwezekani ukatembea na wanawake wote.
 
Gono, Kaswende na ndugu zake bado hakuna aliyewahi kunitembelea, kwa kweli nashukuru[emoji120][emoji120][emoji120]

Baba lao ndoo naogopa hata kupima [emoji16][emoji16]
Baba lao balaah Hilo
 
Usipime utaingia na roho ya shetani ya kutaka kuua watu kama mie. Kosa kubwa nilifanya ni kupima. Ningesubiri tuu mpaka kifo
Mzab bwana[emoji16][emoji16][emoji16] hilo la kutaka kuua watu liache mkuu, kubaliana na mazingira uliyonayo tu!!
 
Usipime utaingia na roho ya shetani ya kutaka kuua watu kama mie. Kosa kubwa nilifanya ni kupima. Ningesubiri tuu mpaka kifo
Kwa Yale mafunzo niloyopitia Cuba,nadiriki kusema Wewe jamaa una maneno mengi Ila sio mtendaji Kama wengi wanavyokufikiria.....ungekuwa mtendaji usingethubutu kuharibu CV yako hadharani🤣🤣🤣🤣🤣watendaji na HIV zao wako kimya wanatafuta mawindo na wanakemea Sana ngono zembe
 

Sound tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…