Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Hahaha hukupigwa bakora na Mr msocha??

Mama Mgina
 
Ni kaswende.. syphilis..huu ugonjwa unashambulia mdogomdogo lakini Ni hatari unaweza kuharibu Hadi ubongo ukawa kichaa..
 
Dom naskia imeoza balaa,
Gono la Dom naskia Ni la kimataifa[emoji1]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
kaa mbali kabisa na gono la dom.. dodoma naweza kukaa mda wowote bila kufumania nyavu.. napaogopa kama ebora 😅😅😅 hata ije pisi kali vipi na hela inipe sijaribu kuikula.. bora iende na utamu wake
 
mkuu imenipata wiki iliyopita. Ni Noma. sipati maumivu lakini kichwa kinatema usaa kama dragon.
Pole mkuu,inakera balaa yaani inakufanya unakuwa haupo comfotable kabisa...dawa yake ni azithromycine tablets ipo na vidonge vitaku ndani ya siku tatu inakata but inashauriwe utulie week mbili ndio unakuwa safe kabisa
 
Ulilamba K hukupata gono la mdomo kweli?
 
Mudi Mwanaharakati anasemaga ni MAE! 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…