Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Kiongozi Hawa viumbe sidhani kama unaweza kuwachomolea aisee wana mbinu balaah
 
Kudadadeki mpongeze mkeo kwa kuzira kumpeleka mtoto klinik eti anamziria nguruwe shamba mihogo yote imeliwa,sasa mzigo ulipakua mbele na nyuma?
 
Mbona umetongozwa kiurahisi sanaa, wewe ungekua demu boda boda wote wangekupitia wewe ni Eazy goer, yaani siku ya kwanza paka unavuliwa nguo tena nyumbani kwa demu, mwenyewe duh
Mwambie asije tongozwa na basha
 
Sema mwanamke akikutongoza, kuchomoa ni ngumu mno.
Mimi nimeshachomoa kwa wawili. Halafu wote kutoka Mkoa ule maarufu wa waja leo kuondoka majaliwa....

Wa kwanza kuchomoa ilikuwa rahisi ila huyu wa pili ilikuwa balaa. Mtoto shombe shombe. Ilibidi niombe msaada wa maombi kutoka kwa baba mchungaji........... Sijawahi kukutana na mwanamke single mother king'ang'anizi kama yule.. Namwambia mi mlokole tafadhali sana sitaki kutenda dhambi... Ananiambia utatubu tu usijali. Mbona tunawabananisha hadi watumishi wa Mungu, wewe muumini tu wa kawaida unakuwa mwoga hivyo!
Mwanamke akianza kulia kuomba akubaliwe ombi lake ni balaa. Hadi kutishia kunywa sumu. Sitaki kukumbuka kabisa ule mkasa...... jinsi nilivyonusurika Mungu tu anajua.
 
Daah kiongozi hawa viumbe wakipenda kuwaruka ni kazi,,
 
Yaan alafu anatokea mtu anasema wanaume tumekuwa wepesi siku hizi haaaah ,,Hawa viumbe ni nomaa sana
 
Na mimi nitoe testimony yangu…imeshawahi kutokea ila mara nyingi inakuwa indirect…ila sasa last weekend nikiwa kwa nite club kubwa kwa sasa dar…tumekaa kwenye meza wanaume watupu kwa mbele kulikuwa na meza ina wadada mixer wanaume…sisi tuliwakuta basi tulivyofika kuna mmoja wa wale wadada alikuwa ananicheki sana ila mimi sikujua mpaka mshkaji wangu aliponiambia basi bana nikawa na mimi namcheki kiaina nikajua kweli amewasha full na ilikuwa ni pisi ya moto sana…as time goes nikawa naenda washrooms si akanifata akanichana live amenielewa nilikuwa nimeshika simu akaichukua bila kuomba akasave namba baada ya hapo…ni babe za kutosha from morning to evening…ni pisi ya kishua haswaa…never spend my money on her
 
Afu mwanamke ukimkatalia mnaweza kua maadaui, hawa viumbe bhana.
 
Kutongozwa na wanawake kawaida, though huyo alienda extra miles she's so confident.
Kuna wanawake wana confidence balaaa... Kuna mmoja enzi hizoo one day akanisimamisha, baada ya salama akaniambia oyaaaa jioni saa mbili njoo home kwangu (ingawa namjua kwa kuonana kitaa kwake sijawahi fika), nikamjibu kuna issue gani mrembo? Akajibu nataka uje uninyandue kuna tatizo?? Daaah nilibaki Nimetoa mimacho tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…