Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Umefanana na baba au mama?? Body je ikoje?? Kichwani nako unatema points au ndio ilimradi sauti unayo maneno yatakuja tu yenyewe???hako kaupepo mbona Mimi hakajawahi kunitokea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanana na baba au mama?? Body je ikoje?? Kichwani nako unatema points au ndio ilimradi sauti unayo maneno yatakuja tu yenyewe???hako kaupepo mbona Mimi hakajawahi kunitokea!
#Kiongozi hawa viumbe wakipenda hawana uvumilivu ata punje#Na mimi nitoe testimony yangu…imeshawahi kutokea ila mara nyingi inakuwa indirect…ila sasa last weekend nikiwa kwa nite club kubwa kwa sasa dar…tumekaa kwenye meza wanaume watupu kwa mbele kulikuwa na meza ina wadada mixer wanaume…sisi tuliwakuta basi tulivyofika kuna mmoja wa wale wadada alikuwa ananicheki sana ila mimi sikujua mpaka mshkaji wangu aliponiambia basi bana nikawa na mimi namcheki kiaina nikajua kweli amewasha full na ilikuwa ni pisi ya moto sana…as time goes nikawa naenda washrooms si akanifata akanichana live amenielewa nilikuwa nimeshika simu akaichukua bila kuomba akasave namba baada ya hapo…ni babe za kutosha from morning to evening…ni pisi ya kishua haswaa…never spend my money on her
Unakataka?hako kaupepo mbona Mimi hakajawahi kunitokea!
Umenifanya nicheke kwa sauti mkuu.Acha punyeto mdogo angu
Kunywa pepsi naja kulipa kiongoziNi kweli labda uwe hanisi ili kama mnara unatoa signal ni vigumu kuwachomolea ni vigumu haswaa.
Acha wewe Hawa viumbe hatarii,,Sasa mm huyu wangu ananiboa ana wivu zaidi ya mama mwenye maliMimi kuna lishangazi mke wa mtu lilinipenda naligonga for free lodge kila kitu linalipa lenyewe na kunitoa juu kama laki
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Towmber towmber [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!Akiwa jau unamkazia tu, labda kama we ni towmber towmber huna standards[emoji28]
Sio kweli maana tumezoea mwanaume ndo anatongoza ,,Leo mwanamke anatongoza kwa nn usiwe Uzi pendwaMwanaume anaetongozwa na kusimulia simulia ni hovyo kabisa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!!!
Mtaalamu wa kuchomoa huwa ni mieSema mwanamke akikutongoza, kuchomoa ni ngumu mno.
Usjal baharia wangu [emoji1319][emoji1319][emoji1319]Safii kaka kwa kuotea mchongo
Huwenda Mungu amekuonesha sehem ya kutokea baada ya kuona mkeo analeta wengee.
Endelea kudambua utaam
Japo baharia hapa sijawahi otea shavu kama hilo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kiongozi nakuomba uweke kisa kimoja katika uzi huu tafadhali [emoji1376][emoji1376]Kutongozwa na wadada ni kawaida katika maisha yangu..
Hasahasa enzi za ujana kabisa.
Wako niliowachomolea wako niliowakubalia.
Sion cha ajabu kila mtu ana haki ya kusema hisia zake.
Nikianza kusimulia visa ni vingi sana.
Shida ni wale ninaowataka mimi,wengi wananichomolea za mbavuni kinomanoma.
Mie huwa wananiangalia tu wanabaki kunisema najisikia sanaAkiwa jau unamkazia tu, labda kama we ni towmber towmber huna standards[emoji28]
Kuna bidada alikua ni mteja mzuri sana wa bidhaa zangu na mwaminifu,tulipatana mtandaoni ila tulikua hatufahamiani kwa sura.Kiongozi nakuomba uweke kisa kimoja katika uzi huu tafadhali [emoji1376][emoji1376]
Daah pole Sana kiongozi,Hawa viumbe wang'anganizi SanaKuna bidada alikua ni mteja mzuri sana wa bidhaa zangu na mwaminifu,tulipatana mtandaoni ila tulikua hatufahamiani kwa sura.
Iko siku nilikua na order kubwa napeleka mkoa wake,na yeye akaunganisha na za kwake sababu nilimpa taarifa nina safari ya kwenda huo mkoa kama anakitu anahitaji nimbebe haita mgharimu pesa ya usafiri.
Alikua busy sana so alipata nafasi mida imekwenda ila sikujali nilimpelekea bidhaa zake.
Kwenye malipo aliniambia hiyo sehemu siyo salama sana niingie kwenye gari nihakiki pesa zangu.
Niligoma sababu nilikua namwamini nilitaka anipe tu nitahakiki mbele ya safari.
Alinisisitiza niingie,nikagoma "Ambition mbona mwoga mwoga kama sio mwanaume bana".
Liwalo na liwe nikaingia.
Aisee sijui alipata wapi ujasiri,alianza kunisifia marashi,akitaka kujua yanauzwa wapi,mara umependeza unaonekana unajipenda sana,mara sauti yako haifanani na wewe,huyo dada ulienae anafaidi kweli kuwa na mwanaume kama wewe, blah blah kibao.
Aliniganda kama ruba simu kila saa kila dakika mpaka nikajuta kuonana nae.
Na ikawa ndio mwanzo wa kupoteza mteja mwaminifu.
Umezidisha mdalasini kwenye hii chai, yaan pikipiki ina move mtu kabadili mkaoVisa vikaanza kwenye upandaji wa pikipiki QUEEN akakaa ki kike na kunisogelea very close huku mikono yake kaegesha mapegani kwangu HAPA CHALE ZA UUME ZIKAANZA KUCHEZA
Wakati pikipiki ikiwa inamove binti akabadllisha mkao kutoka mkao wa kike kuja mkao wa kiume huku pikiipiki inatembea nikajiuliza ila sikumaind kivile nikakaushaa,
Baada ya kubadili mkao demu akanisiogelea very close yaani utadhani nimebeba watu wa 4 kumbe mmoja tu nikahsi huyu sio bure anataka mkuyenge nikajismea ngoja tuone yajayo ,
Demu akanilipa pesa nikachukua halafu nikawa busy simjali wala nini ,
NIKIWA gheto nimepumzika akaja tena mtoto wa dada ake akaniambia mama mdogo amenituma nikuletee hii karatasi amesema umjibu sasa hv ,
karatasi ilikuwa imeandikwa hivi " WEWE KAKAKA HAKIKA NIMETOKEKEA KUKUPENDA NAOMBA TUANZISHE URAFIKI WA MAHUSIANO"
Nikajisemea ukisikia hakuna mkate mgumu mbele ya chai ndo hapa sasa ,
WAKUU nilichapa mzigo kutwa mchana na usiku
anyway ila TULISHA TEMANA KITAMBOOO IMEBAKI STORI kuwa TULIKUWAGAAAA!
Nimenena vitu real mkuu hakukuwa na profit yoyote kuongeza mambo ambayo hayakutokea , ukweli hicho kitendo sijawah kukutana nacho na ni mara ya kwanza anyway hata mh jiwe alipokuwa hai na angali madarakani mlimuita dikteta na majina mengi ya hovyo ila alipofariki na uongozi wa nchi kwenda kwa mama yetu nae alipoanza na balaa la tozo ndo mkajirudina kujua kuwa mh jiwe alikuwa MTU MWEMA NA SIO DIKTETA TENA,Umezidisha mdalasini kwenye hii chai, yaan pikipiki ina move mtu kabadili mkao
Weeee hao ndio vinara wa kutongoza😅!!! Ulishawahi ona wapi pisi kali inaomba penzi mahali?Madem jau jau hawajui kutongoza.