Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Hatari sanaDar kwa moto wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaDar kwa moto wallah
Somo: Wababa tupeleke watoto clinic... sawa afisa ustawi jamii.Pole na hongera sana na kazi za ujenzi
Wa TAIFA letu
Rejea mada apo juu:
#Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick#
Usku wa tarehe moja mm na mama ake tulitofautiana kidogo ivo siku hiyo mke wangu akawa amegoma kumpeleka mtoto clinic,,
Basi nikasema isiwe taabu nikavaa zangu shati na suruari na koti [emoji1787][emoji1787] badae nikapiga neck tie, nikapewa vyeti na nguo ya kubobea clinic,,
Mzee baba nikawasha pikipiki na mwanangu mgongoni wa miaka miwili
Bahati nzuri niliwahi kufka zahanati buduma zilikuwa bado hazijaanza kutolewa maana ilikuwa bado saa moja Kama na dk ishirini ivi
Nikakaa zangu kwenye benchi uku nikiwa nimembeba mwanangu kifuani,gafla akapita dada mmoja (nurse)
Nurse: Kaka vp
Mimi: safi za asubuhi
Nurse: nzuri,karb
Mimi: asantee sana
Nurse: vp mtoto wetu anaumwa
Mm: hamna nimemleta clinic
Nurse:haaaaaaaàa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] akachekaa sanaa kwa sauti [emoji1787][emoji1787] Kisha akasema
"Nenda upande wa kule ndo clinic wanakaa"
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319] sikujua dada angu,
Wakati nataka kusimama akaniulza samahani Simu yako ina salio nimpigie dada wangu wa kazi nimweleze kitu nimesahau?
Nikamwambia hamna sina salio,,nikaulza mtandao gani anatumia akanambia halotel
Nikasema chukua vocha hii ujiunge mpigie
Nurse: asantee sana Kaka angu
Mimi: usjal sawaa
Nurse:niachie namba ako basi
Mm:0784034,,,,,6
Nurse: asantee, ngoja niingie mzigoni apa badae
Mimi😛owa kazi njema
Nurse: malezi mema pia
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319]
Basi wajomba ile nataka kusepa zangu home baada ya kupima mwanangu,,simu inaita oohoo kuangalia namba ngeni
Kumbe imetuma na meseji sikuiskia
Ndugu zangu wanawake wanajua kupiga mistari,,sikutarajia maneno aliyokuwa ANAONGEA yule nurse na kuandka
Ninachokumbuka nikuombwa nimpeleke mtoto nyumban alafu nirudi uku nikipewa elfu tano ya mafuta kupitia Airtel money
Sikuwa na ujanja wa kuulza kuna shida gani,japo nilijibu maswali yake kama mwanaume,,na yeye akiwa Kama mwanamke
Saa kumi na moja simu inaita,,,napokea nalaumiwa kwa nn sijarudi? Nikamjbu nilikuwa na kazi nyingi ila Sasa hivi niko undo
Akanitaka niende sehem ambayo naijua vizuri ,,ni mtaa fulani karbu na mtaa jirani
Nikawasha pikipiki adi pale namkuta amekaa peke ake,akiwa ameshavua nguo za kazi
Akanitaka tusogee adi nyumban kwake,nikambeba adi kwake daaah
Saa mbili kasoro usku ndo najiandaa kurudi nyumban haaaah,,wajomba sikutumia kinywaji chochote tofauti na nanasi iliyotengenezwa nikiwepo palepale,,
Nilitoa sharti la kupima afya zetu nurse alikubali lakini ki ukweli alifunguka kuhusu kunipenda na kuhitaji tuwe pamoja
Adi leo naandka huu uzi wajomba mzigo nakula Kama kawaida [emoji851] kwani nurse anajielewa isitoshe hela ya kusuka anayo ,,hela ya mboga ipo na uwezo anao,
Japo naona anataka isiwe siri [emoji125][emoji125][emoji124] [emoji125] jambo ambalo siwez muda wowote naweza kimbia
Rejea uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA
LETENI VISA VYENU WANAUME MLIO WAHI KUTONGOZWA
NB:AFYA ZETU NI IMARA NDO MAANA NILIKUBALI KULA MZIGO ADI SASA [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Hatari sana
33°mkuuLeo inasoma ngapi
Hahahaha mwili ukijengeka vizuri huwa unaongeza mvuto japo kila mtu ana taste yake.... ila sasa kama ndio mnene kama pepe kale halafu mfupi itabidi upambane sana ndio uweze kutongozwaAisee1 Balaa sana, kwamba ni kuwa na sauti maneno yatakuja yenyewe.
on serious note, kwa hiyo Mkuu Body inapaswa iweje? Six Packs? kwenda GYM kutafaa.
Suala la kutema pointi mkuu hapa si kudevelop tabia ya kusoma vitabu sio?
Sitafanya ujingahuo, ananiambia anaumia sijui anaumia nini kmmmke, natamani nimuambia jamaayangu naona moto utawaka.Usije ukatembea naye jamaa atajua tu
We si unasema una miaka 50...!!???50+ kitu gani???????
So sai uko na wateja matapeli? Aka scammers!?Kuna bidada alikua ni mteja mzuri sana wa bidhaa zangu na mwaminifu,tulipatana mtandaoni ila tulikua hatufahamiani kwa sura.
Iko siku nilikua na order kubwa napeleka mkoa wake,na yeye akaunganisha na za kwake sababu nilimpa taarifa nina safari ya kwenda huo mkoa kama anakitu anahitaji nimbebe haita mgharimu pesa ya usafiri.
Alikua busy sana so alipata nafasi mida imekwenda ila sikujali nilimpelekea bidhaa zake.
Kwenye malipo aliniambia hiyo sehemu siyo salama sana niingie kwenye gari nihakiki pesa zangu.
Niligoma sababu nilikua namwamini nilitaka anipe tu nitahakiki mbele ya safari.
Alinisisitiza niingie,nikagoma "Ambition mbona mwoga mwoga kama sio mwanaume bana".
Liwalo na liwe nikaingia.
Aisee sijui alipata wapi ujasiri,alianza kunisifia marashi,akitaka kujua yanauzwa wapi,mara umependeza unaonekana unajipenda sana,mara sauti yako haifanani na wewe,huyo dada ulienae anafaidi kweli kuwa na mwanaume kama wewe, blah blah kibao.
Aliniganda kama ruba simu kila saa kila dakika mpaka nikajuta kuonana nae.
Na ikawa ndio mwanzo wa kupoteza mteja mwaminifu.
Ndio Nina fifty plus!We si unasema una miaka 50...!!???
Au ndo kusema ukiwa muongo usiwe msaulifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee! jioni nitapita GYM kwa ajili ya usajili, niujenge mwili ujengeke.Hahahaha mwili ukijengeka vizuri huwa unaongeza mvuto japo kila mtu ana taste yake.... ila sasa kama ndio mnene kama pepe kale halafu mfupi itabidi upambane sana ndio uweze kutongozwa
Cha msingi ni wewe kucheki na unaetaka kumvutia, si unajua sisi hatutabiriki?? Kuna wanaopenda vitambi sasa usije ukatengeneza packs kumbe ye anapenda kitambi cha kufutia futia simuAisee! jioni nitapita GYM kwa ajili ya usajili, niujenge mwili ujengeke.
Aiisee! basi nitafanya mazoezi kimkatai ili niwe na six packs pasipo kuathiri kitambi.Cha msingi ni wewe kucheki na unaetaka kumvutia, si unajua sisi hatutabiriki?? Kuna wanaopenda vitambi sasa usije ukatengeneza packs kumbe ye anapenda kitambi cha kufutia futia simu
Haaaa vp pisi hailipi nn?Week iliyopita nimekutana na demu mtaani ,kwenye kusalimiana akaniomba namba ya simu nikampa ,usiku akaanza kunichatisha,akaniambia namba yako sioni WhatsApp ungenitumia hata picha kama 3 ,nikamwambia situmii WhatsApp but natumia kwa namba nyingine ,kesho yake akaanza aaah kama vipi tuonane tukiwa na malengo tutafika mbali [emoji2].
Mimi simjibu asubuhi akisalimia najibu salamu tu ,cha ajabu anaanza kufoka kama tulikuwa wapenzi vile eti kwanini hujibu msg zangu
Hailipi kabisaHaaaa vp pisi hailipi nn?
#Anzisha uzi alafu upe kichwa cha habari icho#Somo: Wababa tupeleke watoto clinic... sawa afisa ustawi jamii.
Muda unazidi kwenda uko kimya tu kiongozi vpwoyooooooooo... na mm nina kisa cha doctor MD..hospital ya mkoa...ntarudi kuleta kisa...Japo ninavyo vingi sana[emoji39]
Uzi wako unachosha.#Anzisha uzi alafu upe kichwa cha habari icho