Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Pole na hongera sana na kazi za ujenzi
Wa TAIFA letu

Rejea mada apo juu:

#Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick#
Usku wa tarehe moja mm na mama ake tulitofautiana kidogo ivo siku hiyo mke wangu akawa amegoma kumpeleka mtoto clinic,,

Basi nikasema isiwe taabu nikavaa zangu shati na suruari na koti [emoji1787][emoji1787] badae nikapiga neck tie, nikapewa vyeti na nguo ya kubobea clinic,,

Mzee baba nikawasha pikipiki na mwanangu mgongoni wa miaka miwili

Bahati nzuri niliwahi kufka zahanati buduma zilikuwa bado hazijaanza kutolewa maana ilikuwa bado saa moja Kama na dk ishirini ivi

Nikakaa zangu kwenye benchi uku nikiwa nimembeba mwanangu kifuani,gafla akapita dada mmoja (nurse)

Nurse: Kaka vp
Mimi: safi za asubuhi
Nurse: nzuri,karb
Mimi: asantee sana
Nurse: vp mtoto wetu anaumwa
Mm: hamna nimemleta clinic
Nurse:haaaaaaaàa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] akachekaa sanaa kwa sauti [emoji1787][emoji1787] Kisha akasema
"Nenda upande wa kule ndo clinic wanakaa"

Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319] sikujua dada angu,
Wakati nataka kusimama akaniulza samahani Simu yako ina salio nimpigie dada wangu wa kazi nimweleze kitu nimesahau?

Nikamwambia hamna sina salio,,nikaulza mtandao gani anatumia akanambia halotel
Nikasema chukua vocha hii ujiunge mpigie

Nurse: asantee sana Kaka angu
Mimi: usjal sawaa
Nurse:niachie namba ako basi
Mm:0784034,,,,,6
Nurse: asantee, ngoja niingie mzigoni apa badae
Mimi😛owa kazi njema
Nurse: malezi mema pia
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319]

Basi wajomba ile nataka kusepa zangu home baada ya kupima mwanangu,,simu inaita oohoo kuangalia namba ngeni
Kumbe imetuma na meseji sikuiskia

Ndugu zangu wanawake wanajua kupiga mistari,,sikutarajia maneno aliyokuwa ANAONGEA yule nurse na kuandka

Ninachokumbuka nikuombwa nimpeleke mtoto nyumban alafu nirudi uku nikipewa elfu tano ya mafuta kupitia Airtel money

Sikuwa na ujanja wa kuulza kuna shida gani,japo nilijibu maswali yake kama mwanaume,,na yeye akiwa Kama mwanamke

Saa kumi na moja simu inaita,,,napokea nalaumiwa kwa nn sijarudi? Nikamjbu nilikuwa na kazi nyingi ila Sasa hivi niko undo

Akanitaka niende sehem ambayo naijua vizuri ,,ni mtaa fulani karbu na mtaa jirani
Nikawasha pikipiki adi pale namkuta amekaa peke ake,akiwa ameshavua nguo za kazi

Akanitaka tusogee adi nyumban kwake,nikambeba adi kwake daaah
Saa mbili kasoro usku ndo najiandaa kurudi nyumban haaaah,,wajomba sikutumia kinywaji chochote tofauti na nanasi iliyotengenezwa nikiwepo palepale,,

Nilitoa sharti la kupima afya zetu nurse alikubali lakini ki ukweli alifunguka kuhusu kunipenda na kuhitaji tuwe pamoja

Adi leo naandka huu uzi wajomba mzigo nakula Kama kawaida [emoji851] kwani nurse anajielewa isitoshe hela ya kusuka anayo ,,hela ya mboga ipo na uwezo anao,

Japo naona anataka isiwe siri [emoji125][emoji125][emoji124] [emoji125] jambo ambalo siwez muda wowote naweza kimbia

Rejea uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA

LETENI VISA VYENU WANAUME MLIO WAHI KUTONGOZWA
NB:AFYA ZETU NI IMARA NDO MAANA NILIKUBALI KULA MZIGO ADI SASA [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Somo: Wababa tupeleke watoto clinic... sawa afisa ustawi jamii.
 
Aisee1 Balaa sana, kwamba ni kuwa na sauti maneno yatakuja yenyewe.
on serious note, kwa hiyo Mkuu Body inapaswa iweje? Six Packs? kwenda GYM kutafaa.
Suala la kutema pointi mkuu hapa si kudevelop tabia ya kusoma vitabu sio?
Hahahaha mwili ukijengeka vizuri huwa unaongeza mvuto japo kila mtu ana taste yake.... ila sasa kama ndio mnene kama pepe kale halafu mfupi itabidi upambane sana ndio uweze kutongozwa
 
Kuna bidada alikua ni mteja mzuri sana wa bidhaa zangu na mwaminifu,tulipatana mtandaoni ila tulikua hatufahamiani kwa sura.
Iko siku nilikua na order kubwa napeleka mkoa wake,na yeye akaunganisha na za kwake sababu nilimpa taarifa nina safari ya kwenda huo mkoa kama anakitu anahitaji nimbebe haita mgharimu pesa ya usafiri.
Alikua busy sana so alipata nafasi mida imekwenda ila sikujali nilimpelekea bidhaa zake.
Kwenye malipo aliniambia hiyo sehemu siyo salama sana niingie kwenye gari nihakiki pesa zangu.
Niligoma sababu nilikua namwamini nilitaka anipe tu nitahakiki mbele ya safari.
Alinisisitiza niingie,nikagoma "Ambition mbona mwoga mwoga kama sio mwanaume bana".
Liwalo na liwe nikaingia.

Aisee sijui alipata wapi ujasiri,alianza kunisifia marashi,akitaka kujua yanauzwa wapi,mara umependeza unaonekana unajipenda sana,mara sauti yako haifanani na wewe,huyo dada ulienae anafaidi kweli kuwa na mwanaume kama wewe, blah blah kibao.

Aliniganda kama ruba simu kila saa kila dakika mpaka nikajuta kuonana nae.
Na ikawa ndio mwanzo wa kupoteza mteja mwaminifu.
So sai uko na wateja matapeli? Aka scammers!?
 
Aisee! jioni nitapita GYM kwa ajili ya usajili, niujenge mwili ujengeke.
Cha msingi ni wewe kucheki na unaetaka kumvutia, si unajua sisi hatutabiriki?? Kuna wanaopenda vitambi sasa usije ukatengeneza packs kumbe ye anapenda kitambi cha kufutia futia simu
 
Cha msingi ni wewe kucheki na unaetaka kumvutia, si unajua sisi hatutabiriki?? Kuna wanaopenda vitambi sasa usije ukatengeneza packs kumbe ye anapenda kitambi cha kufutia futia simu
Aiisee! basi nitafanya mazoezi kimkatai ili niwe na six packs pasipo kuathiri kitambi.
 
Week iliyopita nimekutana na demu mtaani ,kwenye kusalimiana akaniomba namba ya simu nikampa ,usiku akaanza kunichatisha,akaniambia namba yako sioni WhatsApp ungenitumia hata picha kama 3 ,nikamwambia situmii WhatsApp but natumia kwa namba nyingine ,kesho yake akaanza aaah kama vipi tuonane tukiwa na malengo tutafika mbali [emoji2].


Mimi simjibu asubuhi akisalimia najibu salamu tu ,cha ajabu anaanza kufoka kama tulikuwa wapenzi vile eti kwanini hujibu msg zangu
 
Week iliyopita nimekutana na demu mtaani ,kwenye kusalimiana akaniomba namba ya simu nikampa ,usiku akaanza kunichatisha,akaniambia namba yako sioni WhatsApp ungenitumia hata picha kama 3 ,nikamwambia situmii WhatsApp but natumia kwa namba nyingine ,kesho yake akaanza aaah kama vipi tuonane tukiwa na malengo tutafika mbali [emoji2].


Mimi simjibu asubuhi akisalimia najibu salamu tu ,cha ajabu anaanza kufoka kama tulikuwa wapenzi vile eti kwanini hujibu msg zangu
Haaaa vp pisi hailipi nn?
 
Back
Top Bottom