Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Mwanamke ukinitongoza tegemea kunikosa " mademu kibao nishawachomolea " Sababu ambazo huwa zinapelekea kuwakataa ke wanaonitongoza ni

(1)huyu demu amenipendea nini hasa
(2)vp kama kuna kitu special pengne amelenga naweza kuwa nacho kumbe siko nacho si ndo atanidharau.

Nikiwazaga hivyo basi huwa najikuta feeling zinakata kabisa.. acha aendelee kunitamani na kuniona special siku zote
 
Kuna wanawake wana confidence balaaa... Kuna mmoja enzi hizoo one day akanisimamisha, baada ya salama akaniambia oyaaaa jioni saa mbili njoo home kwangu (ingawa namjua kwa kuonana kitaa kwake sijawahi fika), nikamjibu kuna issue gani mrembo? Akajibu nataka uje uninyandue kuna tatizo?? Daaah nilibaki Nimetoa mimacho tuu...
hahahahahahaaaa ukabaki umetumbua mimacho noma sanaaa
Hla vp ulienda?
 
hako kaupepo mbona Mimi hakajawahi kunitokea!
You don't make them to do it! Mbona kitu chakawaida sana mkuu mi hata siwezi kushuku chochote coz nishazoea! Ila sio kwamba najisifu ila Ni muhanga wa hilo tena zaidi ya mara moja!.. binafsi naonaga tu human expression hata siwezi mchukulia malaya!.

We ishi tu kawaida usiexpect hicho kitu pia usiwe serious sanaa! Usikute wapo ila namna ya kukuingia Sasa shughuli!.. wengine wanakuja kukuangalia tu yaliyomo yamo..😂
Chase your dreams they'll chase you.😃
 
Kutongozwa na wadada ni kawaida katika maisha yangu..
Hasahasa enzi za ujana kabisa.
Wako niliowachomolea wako niliowakubalia.

Sion cha ajabu kila mtu ana haki ya kusema hisia zake.
Nikianza kusimulia visa ni vingi sana.

Shida ni wale ninaowataka mimi,wengi wananichomolea za mbavuni kinomanoma.
 
Baada ya kuachana na mzazi mwenzangu sikuwa na plani ya kuoa tena,

Nikiwa nimepanga kwenye nyumba flan mitaa ya hapa karibu na DM PHARMACY nilijitahd kuji keep busy na kazi kuliko insu za mapenzi ,

ratiba yangu ilikuwa ni saa 7 pm naenda joj narudi 3 am nalala gheto until 111 am nikiamka sikai home ni misele na BODA langu mwanzo mwenga!,

Basi bhana kumbe recent 3 or 4 days ago kuna familia zilihamia hapo nilipopanga kuna kibinti flan amaizing kinaitwa QUEEN kikawa kimenipenda ila kunipata hakawezi kutokana na ratiba yangu niko busy muda wote,

Visa vikaanza sku moja nikiwa nimelala saa 3 asubuh QUEEN akamtuma mtoto wa dada ake aje kuniambia mamdogo anahtaji usafiri kwa vili nilikuwa nimechoka nikamjibu nenda kamwambie pikipiki mbovu (NILIMDANGANYA) basi siku ikapita another day akaja yeye mwenyewe akagonga mlango nikafungua akasema anahtaji usafiri nimpelekeke maeneo ya makuti , japo kivivu nikafanya kama alivyotaka ,

INAENDELEA .....
Kyai kya rangi...
 
Nawapenda Halima, Aisha, Rehema na Winfrida ni experience nzuri sana sana walinipenda wakanitaka nikawakubali na kuwapea na viuno hatari kama BilekuMpasi wa Empire Bakuba hadi leo wanakumbuka ni mabest wa kawaida na wameolewa, Balaa kuna huyu Mnyamwezi Binti Mwasi ndoo balaa alimuacha msela wake na mabest wa msela nikapewa ufinyio wa ndani.

Rip Sembuche hesabu ndio mpango mzima.
 
[emoji23][emoji23] mkuu nimecheka sana story hii

na mimi ngoja ntoe story yangu kwa ufupi sana...(SINA UANDISHI MZURI VUMILIENI)

wakati naingia mwaka wa 3 chuo flani apa bongo ...nilipokea simu toka kwa mshkaji wangu kuwa ana mdogo wake anakuja first year pale chuoni na angeoomba nimpokee na kumsaidia .......na kipindi hiko naingia mwaka wa 3 nilikuwa niko ghetto na sikuendaga likizo ya last semester so ,ikawa advantage kwao mimi kuwa around chuoni pale muda huo....

Dogo akatua alikuwa mweupe mwili portable kizuri kwa mbali..basi nikamsaidia hapa na pale akafanikiwa ..

Tukawa tunachati lkn ananiita KAKA na kuheshiiana sana na mimi sikuwa na time naye ...

Siku 1 ikaingia mesegi yake Bonge la SMS la tongozo eti ananipenda na nismwambie kaka ake ...

Baharia nkamwambia Njoo ghetto tuone namna ya kufanya hyo ishue ,Tulinjunjana kama mwez badae akaokoka na kuhudhuria vipindi vya dini.

CHAKUSHANGAZA , akakutana na waumini na ma classmate wangu wakamwambia mimi ni mhuni na mlevi na mvuta bangi , demu akavunja uhusiano na mimi nkasema haina kwere ,ulijileta mwenyewe

ASIKWAMBIE MTU MWANAUME KUTONGOZWA ,KUKATAA HUWA NI ISHUE SANA ,SIJAWAHI KUMKATALIA TONGOZO LA MANZI
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee et njoo geto tuone tunfanyaje !
 
Mimi nimeshachomoa kwa wawili. Halafu wote kutoka Mkoa ule maarufu wa waja leo kuondoka majaliwa....

Wa kwanza kuchomoa ilikuwa rahisi ila huyu wa pili ilikuwa balaa. Mtoto shombe shombe. Ilibidi niombe msaada wa maombi kutoka kwa baba mchungaji........... Sijawahi kukutana na mwanamke single mother king'ang'anizi kama yule.. Namwambia mi mlokole tafadhali sana sitaki kutenda dhambi... Ananiambia utatubu tu usijali. Mbona tunawabananisha hadi watumishi wa Mungu, wewe muumini tu wa kawaida unakuwa mwoga hivyo!
Mwanamke akianza kulia kuomba akubaliwe ombi lake ni balaa. Hadi kutishia kunywa sumu. Sitaki kukumbuka kabisa ule mkasa...... jinsi nilivyonusurika Mungu tu anajua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16]
 
Pole na hongera sana na kazi za ujenzi
Wa TAIFA letu

Rejea mada apo juu:

#Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick#
Usku wa tarehe moja mm na mama ake tulitofautiana kidogo ivo siku hiyo mke wangu akawa amegoma kumpeleka mtoto clinic,,

Basi nikasema isiwe taabu nikavaa zangu shati na suruari na koti [emoji1787][emoji1787] badae nikapiga neck tie, nikapewa vyeti na nguo ya kubobea clinic,,

Mzee baba nikawasha pikipiki na mwanangu mgongoni wa miaka miwili

Bahati nzuri niliwahi kufka zahanati buduma zilikuwa bado hazijaanza kutolewa maana ilikuwa bado saa moja Kama na dk ishirini ivi

Nikakaa zangu kwenye benchi uku nikiwa nimembeba mwanangu kifuani,gafla akapita dada mmoja (nurse)

Nurse: Kaka vp
Mimi: safi za asubuhi
Nurse: nzuri,karb
Mimi: asantee sana
Nurse: vp mtoto wetu anaumwa
Mm: hamna nimemleta clinic
Nurse:haaaaaaaàa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] akachekaa sanaa kwa sauti [emoji1787][emoji1787] Kisha akasema
"Nenda upande wa kule ndo clinic wanakaa"

Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319] sikujua dada angu,
Wakati nataka kusimama akaniulza samahani Simu yako ina salio nimpigie dada wangu wa kazi nimweleze kitu nimesahau?

Nikamwambia hamna sina salio,,nikaulza mtandao gani anatumia akanambia halotel
Nikasema chukua vocha hii ujiunge mpigie

Nurse: asantee sana Kaka angu
Mimi: usjal sawaa
Nurse:niachie namba ako basi
Mm:0784034,,,,,6
Nurse: asantee, ngoja niingie mzigoni apa badae
Mimi😛owa kazi njema
Nurse: malezi mema pia
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319]

Basi wajomba ile nataka kusepa zangu home baada ya kupima mwanangu,,simu inaita oohoo kuangalia namba ngeni
Kumbe imetuma na meseji sikuiskia

Ndugu zangu wanawake wanajua kupiga mistari,,sikutarajia maneno aliyokuwa ANAONGEA yule nurse na kuandka

Ninachokumbuka nikuombwa nimpeleke mtoto nyumban alafu nirudi uku nikipewa elfu tano ya mafuta kupitia Airtel money

Sikuwa na ujanja wa kuulza kuna shida gani,japo nilijibu maswali yake kama mwanaume,,na yeye akiwa Kama mwanamke

Saa kumi na moja simu inaita,,,napokea nalaumiwa kwa nn sijarudi? Nikamjbu nilikuwa na kazi nyingi ila Sasa hivi niko undo

Akanitaka niende sehem ambayo naijua vizuri ,,ni mtaa fulani karbu na mtaa jirani
Nikawasha pikipiki adi pale namkuta amekaa peke ake,akiwa ameshavua nguo za kazi

Akanitaka tusogee adi nyumban kwake,nikambeba adi kwake daaah
Saa mbili kasoro usku ndo najiandaa kurudi nyumban haaaah,,wajomba sikutumia kinywaji chochote tofauti na nanasi iliyotengenezwa nikiwepo palepale,,

Nilitoa sharti la kupima afya zetu nurse alikubali lakini ki ukweli alifunguka kuhusu kunipenda na kuhitaji tuwe pamoja

Adi leo naandka huu uzi wajomba mzigo nakula Kama kawaida [emoji851] kwani nurse anajielewa isitoshe hela ya kusuka anayo ,,hela ya mboga ipo na uwezo anao,

Japo naona anataka isiwe siri [emoji125][emoji125][emoji124] [emoji125] jambo ambalo siwez muda wowote naweza kimbia

Rejea uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA

LETENI VISA VYENU WANAUME MLIO WAHI KUTONGOZWA
NB:AFYA ZETU NI IMARA NDO MAANA NILIKUBALI KULA MZIGO ADI SASA [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Safii kaka kwa kuotea mchongo
Huwenda Mungu amekuonesha sehem ya kutokea baada ya kuona mkeo analeta wengee.

Endelea kudambua utaam
Japo baharia hapa sijawahi otea shavu kama hilo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom