Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Mmoja aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa akidai ana dharura. Basi nikampatia na baadae nikamtumia ujumbe kuwa hiyo pesa nimempatia bure, sio mkopo. Basi maisha yakaendelea. Tukikutana basi ana nichangamkia huyo. Mi nikawa nachukulia poa kuwa nimeongeza rafiki kwa kuwa tayari kumsaidia wakati akiwa na shida.

Mara nikaanza kukaribishwa nyumbani, Mara nimetumiwa picha akiwa kajilaza kitandani na ujumbe juu " karibu tulale" .

Nikaona ohoo! Sasa hii inataka kuwa balaa!! Nisipokuwa makini nitajikuta nipo kwenye ule uzi wa JF wa "Kula tunda kimasihara" nikitoa ushuhuda!!
 
Honestly speaking sijawahi kutongozwa.. au maybe nishatongozwa..ila pasipo kujua
 
Nikiweka ukaribu au nikiwa karibu na wanawake, natongozwa. Ndo maana mara nyingi sichangamani nao. Afu kuna wanawake wanatongoza kibabe na kwa vitendo.

Kuna mmoja alinizoea, wakati tumekaa, eti ananifunulia sketi kuanzia mguuni mpaka kwenye paja, ananiambia tazama, ananiringishia kuwa na yeye anavinyweleo. Afu eti ananiambia nipitishe mkono(nimpapase) nione vilivo vzr, nikagoma. Nilivogoma akamaindi, (alikasirika sana).

Na wengine wananiganda kwa staili zao wanazozijua wenyewe.

Kiukweli mimi, mwanamke akijileta au akionesha dalili za kama kuniganda, hata kama nilikuwa namuelewa, hamu naye inaisha kabisa hata nashindwa kumtongoza, sijui ni kwanini.

Mimi nikiwahi kumuanza kumtongoza mwanamke ndo nakuwa naham naye.
 
Week iliyopita nimekutana na demu mtaani ,kwenye kusalimiana akaniomba namba ya simu nikampa ,usiku akaanza kunichatisha,akaniambia namba yako sioni WhatsApp ungenitumia hata
Jichunge na wallet yako mkuu! Mwisho wa mwaka huu anatafuta pa kuponea asiwe mpweke na akose mtu wa kumtoa out..
 
Pole na hongera sana na kazi za ujenzi
Wa TAIFA letu

Rejea mada apo juu:

#Ilikuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi na moja tarehe mbili, siku hiyo mwanangu alistahili kwenda klinick#
Usku wa tarehe moja mm na mama ake tulitofautiana kidogo ivo siku hiyo mke wangu akawa amegoma kumpeleka mtoto clinic,,

Basi nikasema isiwe taabu nikavaa zangu shati na suruari na koti [emoji1787][emoji1787] badae nikapiga neck tie, nikapewa vyeti na nguo ya kubobea clinic,,

Mzee baba nikawasha pikipiki na mwanangu mgongoni wa miaka miwili

Bahati nzuri niliwahi kufka zahanati buduma zilikuwa bado hazijaanza kutolewa maana ilikuwa bado saa moja Kama na dk ishirini ivi

Nikakaa zangu kwenye benchi uku nikiwa nimembeba mwanangu kifuani,gafla akapita dada mmoja (nurse)

Nurse: Kaka vp
Mimi: safi za asubuhi
Nurse: nzuri,karb
Mimi: asantee sana
Nurse: vp mtoto wetu anaumwa
Mm: hamna nimemleta clinic
Nurse:haaaaaaaàa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] akachekaa sanaa kwa sauti [emoji1787][emoji1787] Kisha akasema
"Nenda upande wa kule ndo clinic wanakaa"

Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319] sikujua dada angu,
Wakati nataka kusimama akaniulza samahani Simu yako ina salio nimpigie dada wangu wa kazi nimweleze kitu nimesahau?

Nikamwambia hamna sina salio,,nikaulza mtandao gani anatumia akanambia halotel
Nikasema chukua vocha hii ujiunge mpigie

Nurse: asantee sana Kaka angu
Mimi: usjal sawaa
Nurse:niachie namba ako basi
Mm:0784034,,,,,6
Nurse: asantee, ngoja niingie mzigoni apa badae
Mimi😛owa kazi njema
Nurse: malezi mema pia
Mimi: asantee [emoji1319][emoji1319]

Basi wajomba ile nataka kusepa zangu home baada ya kupima mwanangu,,simu inaita oohoo kuangalia namba ngeni
Kumbe imetuma na meseji sikuiskia

Ndugu zangu wanawake wanajua kupiga mistari,,sikutarajia maneno aliyokuwa ANAONGEA yule nurse na kuandka

Ninachokumbuka nikuombwa nimpeleke mtoto nyumban alafu nirudi uku nikipewa elfu tano ya mafuta kupitia Airtel money

Sikuwa na ujanja wa kuulza kuna shida gani,japo nilijibu maswali yake kama mwanaume,,na yeye akiwa Kama mwanamke

Saa kumi na moja simu inaita,,,napokea nalaumiwa kwa nn sijarudi? Nikamjbu nilikuwa na kazi nyingi ila Sasa hivi niko undo

Akanitaka niende sehem ambayo naijua vizuri ,,ni mtaa fulani karbu na mtaa jirani
Nikawasha pikipiki adi pale namkuta amekaa peke ake,akiwa ameshavua nguo za kazi

Akanitaka tusogee adi nyumban kwake,nikambeba adi kwake daaah
Saa mbili kasoro usku ndo najiandaa kurudi nyumban haaaah,,wajomba sikutumia kinywaji chochote tofauti na nanasi iliyotengenezwa nikiwepo palepale,,

Nilitoa sharti la kupima afya zetu nurse alikubali lakini ki ukweli alifunguka kuhusu kunipenda na kuhitaji tuwe pamoja

Adi leo naandka huu uzi wajomba mzigo nakula Kama kawaida [emoji851] kwani nurse anajielewa isitoshe hela ya kusuka anayo ,,hela ya mboga ipo na uwezo anao,

Japo naona anataka isiwe siri [emoji125][emoji125][emoji124] [emoji125] jambo ambalo siwez muda wowote naweza kimbia

Rejea uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA

LETENI VISA VYENU WANAUME MLIO WAHI KUTONGOZWA
NB:AFYA ZETU NI IMARA NDO MAANA NILIKUBALI KULA MZIGO ADI SASA [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Acha uzinifu
 
uzinzi umetamalaki nanimekuwa kiti cha kawada, Sodoma na Gomora ilikuwa hivi hivi
 
You don't make them to do it! Mbona kitu chakawaida sana mkuu mi hata siwezi kushuku chochote coz nishazoea! Ila sio kwamba najisifu ila Ni muhanga wa hilo tena zaidi ya mara moja!.. binafsi naonaga tu human expression hata siwezi mchukulia malaya!.

We ishi tu kawaida usiexpect hicho kitu pia usiwe serious sanaa! Usikute wapo ila namna ya kukuingia Sasa shughuli!.. wengine wanakuja kukuangalia tu yaliyomo yamo..[emoji23]
Chase your dreams they'll chase you.[emoji2]
mkuu uko sawa wako wengi ila kuniaza inakuwa ni ngumu sana, make muda wote nikoserius sichekang hovyo hovyo.
 
Nikiweka ukaribu au nikiwa karibu na wanawake, natongozwa. Ndo maana mara nyingi sichangamani nao. Afu kuna wanawake wanatongoza kibabe na kwa vitendo.

Kuna mmoja alinizoea, wakati tumekaa, eti ananifunulia sketi kuanzia mguuni mpaka kwenye paja, ananiambia tazama, ananiringishia kuwa na yeye anavinyweleo. Afu eti ananiambia nipitishe mkono(nimpapase) nione vilivo vzr, nikagoma. Nilivogoma akamaindi, (alikasirika sana).

Na wengine wananiganda kwa staili zao wanazozijua wenyewe.

Kiukweli mimi, mwanamke akijileta au akionesha dalili za kama kuniganda, hata kama nilikuwa namuelewa, hamu naye inaisha kabisa hata nashindwa kumtongoza, sijui ni kwanini.

Mimi nikiwahi kumuanza kumtongoza mwanamke ndo nakuwa naham naye.
Na hiyo ndio asili ya jinsia me.
 
Aiseee sio mchezo
Mkuu niliwahi kula tunda kimasihara,, kuna kipindi nilienda Tp nachingwea nyumba niliyofikia kulikuwa mdada jirani ,, dada yule tulizoena tukapeana namba za simu tukawa tunachati sana,, kuna siku akaniite nyumbn kwenda kula,, akaweka chakula mezani baada ya kunawa nichota chakula na kijiko nikamlisha na yeye akanilisha ,,kilichofuata ni kugegedena. Hatukutongozanaa hata kidogo
 
Na mimi nitoe testimony yangu…imeshawahi kutokea ila mara nyingi inakuwa indirect…ila sasa last weekend nikiwa kwa nite club kubwa kwa sasa dar…tumekaa kwenye meza wanaume watupu kwa mbele kulikuwa na meza ina wadada mixer wanaume…sisi tuliwakuta basi tulivyofika kuna mmoja wa wale wadada alikuwa ananicheki sana ila mimi sikujua mpaka mshkaji wangu aliponiambia basi bana nikawa na mimi namcheki kiaina nikajua kweli amewasha full na ilikuwa ni pisi ya moto sana…as time goes nikawa naenda washrooms si akanifata akanichana live amenielewa nilikuwa nimeshika simu akaichukua bila kuomba akasave namba baada ya hapo…ni babe za kutosha from morning to evening…ni pisi ya kishua haswaa…never spend my money on her
ukimaliza kula namba nipasie mkuu
 
Back
Top Bottom