Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Umenikumbusha O level asee kuna dem mmoja nilikua nampend kweli Ila kusema ndo siwez sasa kumbe rafiki yake alikua kanipenda Mimi akawa anafikish ujumbe kwa utan ooh nakupend nakupend watu tunachek kweli kumbe yupo serious siku moja si akanikuta kantini nipo mwenyew nimetulia kwenye meza yang mwenyew akaniomba tukae wote sikupenda kwa kweli kwasababu siku iyo nilijiandaa rafiki yake akija tu nifunguke sasa akaja yeye ikabidi nikubali akae muda si mref Mara ninaye mkubali mm akaja akakaa na sisi nisiye mkubali akaanz kumuambia mwenzak unajua Mimi Scott huwa nampenda kiukweli wala sitanii kama mnavy dhan akanigeukia sasa vp Scott me nakupenda je utakuw na Mimi nilichanganyikiw asee kibaya ninaye mpenda akadakia si umkubali ni kweli anakupend hat mm najua hilo nilichukia asee sikuiyo
 
Basi nyie wenzangu mna bahati sana.......

Kwenye pilika zangu za haya masherehe (kumbuka mimi ni Mc) huwa kuna ile demu umemuona mle umemuelewa nae akakuelewa lakini mnashindwa namna hata ya kubadilishana namba kutokana na kampani aliyonayo, unafika muda wa chakula unajifanya kuanza kuwatangaza watoa huduma wenzio.....mpambaji wetu ni fulani, aliyeandaa chakula ni fulani, mtu wa vinywaji nk......ukifika hapo unaweka utulivu halafu.....mimi naitwa Mc....unaweza kunipata Instagram....facebook nakadhalika, lakini pia namba zangu ni.....hapo unamkazia macho ili ajue kuwa ujumbe ule wa namba ni wa kwake....halafu unaanza kuzitaja moja moja unarudia hata mara tatu.

Kumbe kuna siku li shoga moja nalo likainasa namba yangu, baada ya siku mbili napokea sms;

Lenyewe; Mamb

Mimi; Poa

Lenyewe; Mc....

Mimi; hujakosea

Lenyewe; una nafasi nikupigie au tuzungumze kwa sms

Mimi; nina nafasi utakavyopenda tuzungumze iwe kwa sms au kwa kunipigia ni sawa tu (hapo akilini nikajua hii sio biashara, lazima ni pisi tu imenielewa)

Lenyewe; lakini mwenzio mi naona aibu kukupigia bwana tuongee kwa sms tu

Mimi; karibu tuongee vyovyote upendavyo.........

He.......mbwa yule si akaanza kufunguka aisee......mi naitwa Jamal (sio jina lake) naishi Nyegezi (na hapo nimedanganya [emoji1787][emoji1787]).....mimi ni mpenzi wa mapenzi ya jinsia moja, ni shoga, lakini nimetokea kukupenda sana naomba unikubalie tuwe wapenzi.

Muda huo nikahisi matumbo yamevuruga ghafla, nikaanza kuhisi dalili za vichomi na kipandauso, macho yakawa mekundu halafu kama vile yanapoteza nguvu ya kuona, nikipumua nahisi pumzi imekuwa ya moto sana, hapo hapo miguu ikaanza kuwaka moto, kifua kinabana huku sihisi harufu ya kitu chochote.

Nikamuuliza.....unasemaje wewe.....akazidi kunivuruga eti naomba unikubalie ombi langu, naahidi nitakupenda sana kama MUME WANGU, mi ninajiweza na nina biashara zangu tutaenjoy maisha........duh......naandika kama vile mizaha jamani na watu watafikiri ni utani, lakini mshenzi yule alijua kuvuruga akili yangu kwa siku hiyo, liliongea mambo meeeeeengi mwisho nikaamua kuliblock tu.

Tangu hapo huwa sitaji hovyo namba zangu za simu. Mimi wa kutongozwa na shoga kweli
 
Kama vile wanawake wavopenda kuambiwa warembo navijana wakiume waskuhizi wanatamani kuambiwa niwarembo/wazuri. niwako obsessed kabisa kias chakijana kutufungulia uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasoma comments. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sjui ndo nina nyota ya ukimwi.. Mwaka huu unaisha nmetongozwa na mashemeji wawili. Barmaid. Pisi za mtaan mbili.
 
Mimi nina visa vingi sana vya kutongozwa na wadada
1)Kisa cha kwanza
Nilikua ofcn nahudumia wateja,akaja mdada mmoja mzuri na kijana mmoja kwa bahati mbaya siku iyo mtandao ulikua unasumbua ivyo akaomba namba yangu ya simu ili awe ananiuliza kama mtandao umerudi ili aje, muda wote alikua ananitizama sana alaf anaona aibu basi baada ya kuchukua namba yangu jioni akanitumia sms kunipiga mistari hatar,tukawaa wapenzi hadi alipohama wilaya

2) kisa cha pili
Nilikua dukani nanunua salio, akaja binti mmoja mrefu na hips hatar sasa kilaa nikiongea na mwenye duka yeye full kuni shangaa mimi nikawaa simfatishi ile naondoka kurudi home akawa anakuja nyuma yangu akanisimamisha akaniomba tuongee ana suala muhimu sana anataka nimsaidie ila anataka aje getho ndo atakua huru nikajua anachotaka, alivyokuja getho akafunguka kama alikua ananifatilia siku nyingi lkn leo ndo amepata nafasi ya kuongea na mimi basi nikamgonga baada ya miezi kadhaa kilamblock sababu alikua anasumbua balaa
3)kisa cha tatu
Nilienda pharmacy na mshkaji kununua dawa ghafla muuza duka akaanza kunisifia mara anataka namba zangu mimi nikampotezea, akaja kumtuma mshkaji wangu ili nimkubali, uyu nae nilimgonga then nikamblock sababu alikua ana wivu kuliko mwenye mali yake
Hivi ni baadhi tu ya visa vingi nilivokutana navyo wakuu
 
Mimi nina visa vingi sana vya kutongozwa na wadada
1)Kisa cha kwanza
Nilikua ofcn nahudumia wateja,akaja mdada mmoja mzuri na kijana mmoja kwa bahati mbaya siku iyo mtandao ulikua unasumbua ivyo akaomba namba yangu ya simu ili awe ananiuliza kama mtandao umerudi ili aje, muda wote alikua ananitizama sana alaf anaona aibu basi baada ya kuchukua namba yangu jioni akanitumia sms kunipiga mistari hatar,tukawaa wapenzi hadi alipohama wilaya

2) kisa cha pili
Nilikua dukani nanunua salio, akaja binti mmoja mrefu na hips hatar sasa kilaa nikiongea na mwenye duka yeye full kuni shangaa mimi nikawaa simfatishi ile naondoka kurudi home akawa anakuja nyuma yangu akanisimamisha akaniomba tuongee ana suala muhimu sana anataka nimsaidie ila anataka aje getho ndo atakua huru nikajua anachotaka, alivyokuja getho akafunguka kama alikua ananifatilia siku nyingi lkn leo ndo amepata nafasi ya kuongea na mimi basi nikamgonga baada ya miezi kadhaa kilamblock sababu alikua anasumbua balaa
3)kisa cha tatu
Nilienda pharmacy na mshkaji kununua dawa ghafla muuza duka akaanza kunisifia mara anataka namba zangu mimi nikampotezea, akaja kumtuma mshkaji wangu ili nimkubali, uyu nae nilimgonga then nikamblock sababu alikua ana wivu kuliko mwenye mali yake
Hivi ni baadhi tu ya visa vingi nilivokutana navyo wakuu
Hii ndo dawa yao, akiridhisha analambwa sukari afu anakula block[emoji104] ila suala la usalama ni juu yako mwenyewe hatuitaji kukumbushana, wote ni watu wazima. Kula totoz maana mie sijawahipata zali kama lako mkuu[emoji4]
 
Nilitongozwa na mke wa rafikiangu kipenzi, nilipo kwenda kumtembelea kibaha mail moja daah, ananiambia alipambana mbaka akapata nambayangu kwenye Cm ya mumewake.

Tulikuwa tukiongea na mshkaji ananipa wife wake naongea nae lakini alikuwa hajawahi kuniona.
Nilipo watembelea kwao ndio tukaonana kwa mara ya kwanza, hapa ninavyo andika mbaka nywele zinasimama jamaa tumeshibana ni mwanangu sana sana sana.

Demu anaendaresi mbaka nawaza ametumwa anipime ama vipi daah.

Wanawake Allah anawaona.
Yalishanikuta haya kama yako na katika. mazingira hayo hayo aiseee ...huu mtego kamwe huwezi kushinda .
Ukimkataaa urafiki na jamaa utakufa maana hata kubali aibike.
Ukimkubalia pia urafiki wenu utakuwa mashakani
 
Yalishanikuta haya kama yako na katika. mazingira hayo hayo aiseee ...huu mtego kamwe huwezi kushinda .
Ukimkataaa urafiki na jamaa utakufa maana hata kubali aibike.
Ukimkubalia pia urafiki wenu utakuwa mashakani
😂😂😂 aisee, kama hayajamkuta mtu anaweza kuona kama mchezomchezo lakini katika uhalisia hayamambo yana kuweka njia panda sana unaweza ukawaza sana uchukue uamuzi gani, yani unaona kama umetegwa ivi amavipi, hatarisana.
 
... nilikuwa namuogopa kinoma, japo nilikuwa namtamani kuliko nilivyomtamani mwanamke yeyote maishani!
Alikuwa rafiki ya sister na siku moja kaja kusuka kwa sister na akachelewa kwenda kwao mpaka giza likaingia ... si ikabidi sister aniombe nimsindikize sasaa! ... basi tukaondoka na tulipofika mbali kidogo na nyumbani, yeye akiwa mbele yangu, naona anainama na kuvuta chupi yake chini kisha akachuchumaa na kuanza kukojoa ... aisee nilikufa ganzi mwili mzima kwa msisimko wa kuona matako yake makubwa, erotic na laini ukichanganya na uturi wa mkojo wa msichana mwenye afya katika siku zake za hatari 🥰🥰🥰 ... nikiwa bado nimepigwa bumbuwazi akanishtua na kuniuliza "... mbona husemi?" ... MALIZIA! 😂
 
... nilikuwa namuogopa kinoma, japo nilikuwa namtamani kuliko nilivyomtamani mwanamke yeyote maishani!
Alikuwa rafiki ya sister na siku moja kaja kusuka kwa sister na akachelewa kwenda kwao mpaka giza likaingia ... si ikabidi sister aniombe nimsindikize sasaa! ... basi tukaondoka na tulipofika mbali kidogo na nyumbani, yeye akiwa mbele yangu, naona anainama na kuvuta chupi yake chini kisha akachuchumaa na kuanza kukojoa ... aisee nilikufa ganzi mwili mzima kwa msisimko wa kuona matako yake makubwa, erotic na laini ukichanganya na uturi wa mkojo wa msichana mwenye afya ya siku za hatari 🥰🥰🥰 ... nikiwa bado nimepigwa bumbuwazi akanishtua na kuniuliza "... mbona husemi?" ... MALIZIA! 😂
Endelea boya wewe
 
Wanawake walio ni tongoza wote wa hovyo na kumbuka nime maliza chuo sina issues nilikuwa na shinda sana maskani kama mwaka. Demu wa kwanza alikuwa baamedi huyu karibia kijiwe kizima walipiga tena mwana mmoja alikuwa anafuliwa mpaka nguo,alini tega tega nikawa na mzingua tuu.

Hiyo kubwa kuliko hili mama la kitanga, lilikuwa zuri bonge la shepu jeupe, alikuja kumtembelea mwanae kajifungua,ile nyumba aliyo fikia ndipo hapo hapo kuna kijiwe chetu, pembeni kuna duka, alikuwa akija dukani anavaa vitenge,akiniona lazima ajifunue funue, alimtuma huyo muuza duka kuniambia.

Kuna siku moja mchana nipo maskani mwenyewe, kwenye kibenchi tupo wawili, akajifanya kujifunua, mipaja hiyo papuchi imetuna ni kasema hapa nime patikana.

Na plan kujipigia week inayo fuatia weekend yake, ila jumanne ya week hiyo nilikuwa natoka kutizama UEFA mida saa 6 kasoro usiku, kuna jumba moja hivi halijaisha kuna mwanangu mmoja wa makamo anakuaga anakula bangi mpaka saa saba anaenda kulala, basi na pita pale na muona lile mama na mwanangu wana kula bange ni kashtuka ni kawasalimia na kuenda home.

Sasa kesho yake ni kakutana na yule jamaa akaniambia, tokea afike pale wanakula nae bangi kila siku na yy mwenyewe kishaligonga, akaniambia mme wake anaendesha malori ya mizigo. Yaani baada ya kupata file lake nyege zote zikaniisha.
 
Back
Top Bottom