Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

huyo mganga akitaka hadi mav*zi yangu nitakunyolea ukampe mi nataka uniweke hadi kwenye yai
wanawake niwaone kama wanaume
Mweeeeeh!![emoji134][emoji134][emoji134]
 
kama hela haitoshi we niambie nitakuongezea
ukipata limbwata nilishe tu usijali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki kuamini majicho yangu walah!!
Basi nimeghairi baby.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki kuamini majicho yangu walah!!
Basi nimeghairi baby.
Hebu amini leo yaani we niroge tu
 
Ukiniroga sitachepuka
nitatulia
nitakuanzishia hadi thread humu ndani
Kwahiyo hayo hayawezi kutokea hadi nikuroge!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Tatizo hujui kuchagua wanawake wote hawawezi kuwa wabay
 
sio lengo langu ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wa kiislamu ndo wenye kupenda mambo haya.
Mnavyowasema Wanawake wa kichaga humu kwamba wanaua waume zao kumbe wengi ni Muslim?Mnahamisha sana magoli,ubaya hauna kwao wala hauna kabila mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwenye kucha zake hapo
Ajitahidi kuzifanyia usafi
 
Mwenzetu inaonyesha utajiri wako wa midevu na minywele kichwani,sidhani kama huo utajiri unaojisifia nao ni wa mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…