Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Inadaiwa chupa hizi moja ikiwa na picha zimekutwa kwenye moja ya fukwe huko Tanga

Inaashiria zimerejeshwa nchi kavu na mawimbi ya bahati

IMG_20190108_232821.png

IMG_20190108_232839.png
 
Usikute jamaa alitiwa kwenye chupa karne ya 20
 
Ndio maana mjomba wa rafiki yangu kasoma Havard bwana bwana yani kama kasoma zoom college haya mambo hatari ndugu wakigusa kwawe unaulizwa lini unarudi na nauli ya kurudi uwe nayo huyo mke wake ukimbishia tu utaumwa nusu uwe chizi
 
Back
Top Bottom