Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usmart na ushoga vitu viwili tofauti kabisaa.Hili lipo sana afu sie wavaa hereni wala ushoga hatutaki kuusikia....ishu ni usmart tu wala sio ushoga.
Havihusiani labda usema wanaume mnapenda pesa na hamzitafuti ndo mtapoteza ubingwaSalaam!
Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya.
Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively.....
Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na mipaka.
Hususani sie wanaume, kwa sababu wakuu vipo vingi venye urembo na urembo ni addiction huvuta hisia na fahamu zetu na kuzidi kuvutiwa eg...(nimeeleza ni kwa namna gani urembo unavomfurahisha mtu kwa kuteka hisia zake).
1.Twapenda cheni,
2.saa nzuri,
3.mikanda mizuri,
4.perfumes,
5.kunyoa vizuri na kuweka nywele sawa,
6.kucha ziwe neat,
7. body liwe sexy yaani chest and packs ziwe formed well,
8.kuhusu nguo na viatu ndiyo funga kazi.
9.Hereni za kiume pia ziangaliwe siyo kuvaa hereni kila kona, hereni zivaliwe harusini tu au kwenye parties...wanawake hawana limits ya kuvaa hereni.
for real this fantasy will kill one oooh 😅 in nigerian voice 'one man down'
Sweet life needs to be better prepared,
kingine ni kuwa hakikisha mwanaume unapo pendeza basi lazima uwe na demu yaani chick ni lazima ili uwe na opposition la sivyo utaanza kuvaa vibukta wenyewe tunaita vinjuga na vilapa vya kina careen afu uanze kununua hereni na kusuka mara vitatoo uchwara shingon, mara hivi mara uanze kubinua binua tutako na tusuruale ushenzi tushuke chini😅😅😅😅
Hapo ndiyo nitauliza "Huko Shureni Mrisomea Ujinga" 🤣🤣😂😂
Angalizo:
Wengi hudhani kupoteza ubingwa ni kwa kupenda huja automatically kwa life styles za kila siku.... pia epuka kwenda kwenda saloon za kike na kukaa na group za ladies, hii kitu naona ya kusuka rasta inanipa wasiwasi... rasta fulani mtu anawaka 😅
Hii ni nadharia tu sasa wanzanzibar wanazungumza vipi??? Sie na twa
Dada kasema.Mwanaume kuvaa hereni ni zamani saivi niushamba , cheni ni zamani now ni ushamba , kuwa msafi na kupendeza kunukia ni moja sifa kwa mwanaume boxer ziwe safi, zinanukia ,chumba kiwe safi , nakila kitu chake kiwe kime arrangiwa powa
Ndio utuache tunapewa mbinu za kuwa watanashatiNaona uzi wa warembo wa kiume!
Muache atupe mbinu tunaopenda umaridadiUzi umekaa kimitego tego anayeandika kama vile kaaga mashindano japo anajaribu kutoa ushauri
Hata mm nashangaaWewe umekuja kutafuta nini huku mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]
Umejuaje na ww,? Au ni mabestie zako?Madizaina wengi wa kiume 95% ni MAPAPAI.
NdioHivi vyote wanaume wanatumia?
Ni mabestie waleeOmmy dimpoz na yule mtangazaji wa efm mwenye brand ya nguo za born to shine. Wanapenda sana mambo ya fashion halafu nyendo zao hazielewekieleweki.
Kupoteza ubingwa ni maamuzi ya mtuVizuri umetolea maelezo kwamba hawavai hereni wala vikukuu lakini ni manjemba yamekata na yapo gym, sura za kazi foward hazipiti, lakini sasa washaaga ubigwa wanapumuliwa kisogoni.
Anamtangazia nani sasa, siku hz kila mtu na siri yake moyoniWewe ni shoga ila unaogopa kujitangaza.
Acha wivuuUzi umekaa kama magazijuto,
Mtoa mada naye kama huwa ana left alafu anakuwa added Tena kwenye group.
Umejuaje na ww,? Au ni mabestie zako?
Wala mimi hainishtui siku hizi wanaume wanapelekewa sana moto wala huwezi wadhania, nenda gym, kifupi kila mtu na siri yake moyoni cha msingi usikere mtu kwa starehe yako mwenyeweHivi ukimuona Rio Paul ,Martin au Remtullah utajiuliza mara mbili?