Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ndio maana wanafeerwahSasa nenda kwa hawa wanajiita masharobaro, utakuta mpak lipshine kapaka [emoji849][emoji848]
Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wanafeerwahSasa nenda kwa hawa wanajiita masharobaro, utakuta mpak lipshine kapaka [emoji849][emoji848]
Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
Bob unavaaje hereni hata kwenye harusi. Mashangazi zako watakuonaje!Sijaleft group mwamba yaani wapo manigga wanavaa hereni wengi tu, sema mimi sivai wala sitamani.
Wanao vaa wavae occasionally kwenye maharusi huko.
Hawa ni mabwabwa na wanajiendekeza.Sasa nenda kwa hawa wanajiita masharobaro, utakuta mpak lipshine kapaka [emoji849][emoji848]
Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
Hiyo mipaka ndiyo nimeainisha hapo juu bossSijaelewa unamwongolea mwanaume wa namna gani...
U-smart tunaupenda ila sio huo wa hereni,kusuka sijui vikaptura....wanaume hatunaga mambo mengi kupitiliza..
Lazima uwe na mipaka
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Na mawani kama sio ishuKidume urembo uishie kwenye kuvaa saa tu na nguo smart
🤣🤣Huyo Lazima apitiwe aiseeUnakuta kidume kimevaa kikaptura kifupi kimembana mapaja yuko zake kwenye bodaboda kimepandapanda juu mapaja yote nje, aiseee[emoji16][emoji16]
Kwahiyo kua na pisi pembeni ni moja ya vibwagizo vya kupendeza yaani pisi nayo inakua kama vazi??Mkuu huwezi appear smart afu uzidishe usingle time will reach utaanza kujichukia.
Na kunukiaKidume urembo uishie kwenye kuvaa saa tu na nguo smart
Haijakaa sawa kabisa![emoji1787][emoji1787]Huyo Lazima apitiwe aisee
Hata ndevu nazo zimekuwa kichaka 🤣 yani bora kunyoa smart tu na kunukia.Na kunukia
Na kunyoa vizuri
Na kuwa ndevu vizuri
Akiongeza tu amekuwa Lokole
Hata mimi ndivyo nijuavyo, na kunukia pia kama ni mpenzi wa hivyo na pia kama mwili walo una harufu mbaya.Kidume urembo uishie kwenye kuvaa saa tu na nguo smart
Smartness ni key, perfume tuko pamojaHata mimi ndivyo nijuavyo, na kunukia pia kama ni mpenzi wa hivyo na pia kama mwili walo una harufu mbaya.
Unavaa hereni, unajisiliba make up, unasula nywele sasa hapo wewe na dada yako mnakua na tofauti gani aisee.
Oh no.. mwanaume uchebe muhimuHata ndevu nazo zimekuwa kichaka 🤣 yani bora kunyoa smart tu na kunukia.
Mkuu umemuelewa kweli au umempa faraja tu 😂😂Sawa umeeleweka!
Mpaka wifi akikuhug anaenda na smell yako..Smartness ni key, perfume tuko pamoja