๐น๐น๐น eeeehiyaa.!! Rohoooooooniiimafuta ya nazi nimegundua ni moisturizer nzuri sana kama ngozi yako ina tabia ya kupauka pauka
mmeo mtarajiwa yupo smart.๐น๐น๐น eeeehiyaa.!! Rohoooooooniii
Mtoto una kiranga wewe na watu wazima ๐น๐คฃmmeo mtarajiwa yupo smart.
Sio km ni anapaka ๐น๐นDuh kwa mafuta yote hayo aki wewe bila shaka ni kati ya wale wanaume wanaopaka futa mpaka kalio
๐น๐น๐น๐Mwishoe mtatumia face cream
Kwahiyo ukitoka kuoga unajikungโuta km mbwa basi ๐น๐นSisi wanaume ambao hatuchagui mpaka povu la sabuni ya unga tunaogea mnatuweka kundi gani, kuna kuna kina sisi tunaooga chukuchuku kama hakuna sabuni, ama tunaita kujimwagia maji.
Ila kiukweli kabisa, mambo ya kupaka lotion ama mafuta kumenikalia kushoto mnooo, siwezi kabisa, na sijawahi kutoa hela yangu nikanunua lotion,
Mke wangu alijaribu jaribu mwanzoni, akaona huu mti mkavu kwenye suala la kupaka mafuta ama lotion nimemshindwa.
Mie ni body spray tu baasi.
Labada niende mkoa wenye baridi sana, na huko sipaki mafuta mwilini, ni mdomo tu sababu huwa unachanika chanika.
Sabuni ya unga unaogea? ๐นNipe packages ya pamba.
Sabuni natumia ya Unga/Kipande ya kufulia.
Wewe sasa ndo umeua ๐น๐นPia jitahidi kufanya waxing pubic hair, full body massage na steam bath angalau mara moja kwa mwezi.
Au tafuta mwanamke wa Tanga akufanyie kitu inaitwa "kusinga" walau mara moja kwa mwezi.
Usijaribu mwaya kibamia kitafutika chote ๐นHapo sawa...sie wengine jua linaishia mwilini lotion hatuijui
๐น๐น๐น Dah..!!Mhasibu amewakilisha wanaume wa Sinza!!
Mangi mbona km umeumia nawe mdau wa hand cream nini ๐น๐น๐นVijana wengi wanajitutumua kuonekana ni wanaume kwa tabia za uchafu huku wakitelekeza watoto , wakijipiga vifua kuwa na magamba kama kobe ndio uanaume .
Labda samona jelly ๐
Comment niliyokuwa naitafuta hatimaye nimeipata ๐น๐น๐น
Leo nimemuona jamaa mmoja ni msafi hadi kavaa chupi nyeupe, sijapenda.Aiseeeee!!
Mmh mimi kwa kweli huwa ni ugomvi yeye akishapaka deodorant akiweka cologne yake kamaliza,nasema kila siku si uwe unapaka hata baseline hiyo mikono inapauka utasikia nani anataka kusweat?.....Kilichonishangaza mleta uzi kasahau kabisa kwapa na moisturiser ya vitamin C๐Hapo ongezea sunscreen, shower gel, serum, toner na scrub utakuwa umetisha..!!
Hapo kwenye hand cream ongezea na color less kucha zingโae na ka pink lip balm ๐๐คฃ
Joannah sis Shem naye anatumia hand cream? ๐น๐น
Dada unajitahidi kumzingatia shem ๐ปMmh mimi kwa kweli huwa ni ugomvi yeye akishapaka deodorant akiweka cologne yake kamaliza,nasema kila siku si uwe unapaka hata baseline hiyo mikono inapauka utasikia nani anataka kusweat?.....Kilichonishangaza mleta uzi kasahau kabisa kwapa na moisturiser ya vitamin C๐