Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hiyo stage ya kuchanika nishaipita, inaitwa Pumbu ErosionSabuni ya unga unaogea? [emoji81]
Mtakuja mchanike poumbou bure..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo stage ya kuchanika nishaipita, inaitwa Pumbu ErosionSabuni ya unga unaogea? [emoji81]
Mtakuja mchanike poumbou bure..!!
Taulo lipo, ila baada ya kujikausha, hakuna kupaka mafuta wala lotion ni unyunyu tu. Imeisha hiyo.Kwahiyo ukitoka kuoga unajikung’uta km mbwa basi 😹😹
Hapana sijaumia wala situmii .Mangi mbona km umeumia nawe mdau wa hand cream nini 😹😹😹
Kwenda zako huko...kifutike kisa niniUsijaribu mwaya kibamia kitafutika chote 😹
Sijawahi kuyatumiaView attachment 3209201hapana ni haya hapa mazuri sana kama samona tu ila haya ni Bora zaidi
Safi kabisa Kijana unawakilisha vyema.
Karibu!Safi kabisa Kijana unawakilisha vyema.
Paka na lotion bhana!Taulo lipo, ila baada ya kujikausha, hakuna kupaka mafuta wala lotion ni unyunyu tu. Imeisha hiyo.
Siwezi, siwezi na siwezi tena.. Ngozi yangu siipaki chochote.Paka na lotion bhana!
Dove is for womenKwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Haya mazaga hua nayapata pale uchina yakiwa org kabisa kwa bei cheeKwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
That is frame mf!Siwezi, siwezi na siwezi tena.. Ngozi yangu siipaki chochote.
Mkuu asante kwa hili somo, hivi hiyo nivea breathable inafaa kwa ngozi ya mafuta?Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Nusu Albino una mambo weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikioga nikapaka duodorant yangu kwapani, futa la nazi juu ya ngozi, saa mkononi, nguo zimepigwa pasi, mkanda kiunoni, kiatu mguuni, nmechana kipilipili changu kichwani na uchebe plus kaunyunyu kidogo cha savage nimemaliza.
Hizo dove nikinunua zitaexpire nitasahau kutumia.
Kuna sabuni zinaitwa MEGA zina maandishi ya kiarabu, ni buku tu hazina harufu kali binafsi tangu nizijue nazipendelea sana.