Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

Madem wakuoa wapo, unapata dem ad unajiuliza siku zote alikuwa wapi. Hakuombi hela, ukitaka mzigo anakupa, demu akija kukutembelea anakufulia nguo adi boxers, anaosha vyombo, na anakupikia chochote unachotaka, hataki ununue chakula akiwepo.
 
Nimekuita dogo kwasababu namna unavyochulia kuoa unadhani jambo dogo la kumuona binti Leo kesho au baada ya WK ukatangaza ndoa,
Nakuambia kabisa akili ya mwanamke ione tu, hafu mwanamke usiye mfahamu ambaye hata huna mtu/ ndugu yako anayemfahamu hata kama anatabia zinazokuvuatia kuwa makini sana, haswa kama anakuja kwako akiona maisha unayoishi anauwezo wa kukuinfluence ukajikuta umemuoa kumbe hana tabia za kuwa mke.
Sahihi
 
Very true, nyongeza ndogo hapo sio kwenye kuoa tu pia hata kwenye kuishi jitahidi uwe na mtu wa ndoto zako.





Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana hamjaoa nyinyi nawachukulia kama vijana walioko vyuoni wana ndoto ambazo ukiwasikiliza unajua kabisa hawa vijana baafa ya miaka miwili mitatu watakuwa kama Billgates na Jackma. Wana maoni mazuri na mipango ambayo ikifanikiwa kweli( na hapo ndipo kazi ilipo) unaona wana vision. Ukiwatembelea huko field waliko 1, 2, 3yrs after graduates unakuta wamechoka sana taabani. Waulize ile mipango yenu imwfika wapi??.

Mti ambaye hana uzoefu wa jambo ni mwepesi sana kuongea kile anachofikiri
 
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.

Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda.

Wakati mwingine huwa nasema kuwa ...

"Kwa mwanamke kuolewa ni bahati,na kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye vigezo vya uzuri unavyovitaka ni bahati pia"

Wanawake wengi wamebahatika kuolewa,na wanaume wachache wamebahatika kuwapata wanawake ambao sifa zao za uzuti ndio zile walizozitaka mwanzo.ila wengi hawajabahatika na hilo.

Hii ni kwa sababu kubwa ya kuwa "tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa,na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu"

Kwa maana ukikutana na mwanamke mzuri,mwenye umbo uzi kubwa mbantu wa nguvu,kavaa sketi ya mpira,mapaja nje,mapozi kedekede,kikuku mguuni,mdomo una rangi nyekundu,kitovu kipo nje nje,matiti yamefichwa chuchu tu.

Huyu ataipeleka hisia ya mwanaume kwenye ngono kabisa kwa sababu wanaume wengi maradhi yetu ni kuona.

Manamke wa aina hii hawezi kumpeleka mwanaume kwenye hisia za ndoa kwa sababu maumbile yake na alivyo yanavutia katika hisia za kingono,wanaume tunavuta namna ile ile ya vile vinavyotuvutia.

Ndio maana wale madada poa wanaojiuza pale barabarani utawakuta wamevaa mfano wa nilivyotaja sio kwamba watuvutie kindoa,bali watuvutie kingono na matamanio.

Wanaume wengi hujishangaa kwa nini kabla ya kuoa alitamani kuwa na mwanamke mwenye tako kubwa,mzuri mrembo, mrefu mweupe ila anajikuta kaoa mwanamke mwenye sifa moja tu labda ni mweupe basi ila kalio nothing,uzuri nothing.

Sababu ni kuwa wanaume wenyewe kama hatujazisoma akili zetu hivi tunakuja kushtuka baada ya kuoa na kukaa na wake zetu kuwa ohoo kumbe vile vigezo nilivyovitaka havikuwa vigezo vya kunivutia katika Ndoa,bali vilikuwa vigezo vya kunivutia katika Ngono.

Wanaume wengi wanaoa wanawake wazuri baada ya Ndoa zao za kwanza kwa sababu wanakuwa wameshajifunza na kujua kuwa kuna kosa walilifanya kwenye Ndoa zao za kwanza.

kumbe kwenye ndoa ya kwanza ndo walikuwa sahihi na kwenye ndoa ya pili ndo wanakosea zaidi hasa kwa kutanguliza vigezo vya ngono kwenye ndoa jambo ambalo linafanya Ndoa ya pili ya wanaume wengi kuwakumbuka wanawake katika Ndoa ya kwwnza kwa sababu wale wa kwanza ndio walivitia kindoa na hawa wa pili wanavutia kingono tu.

Wanawake bado hawajajua siri hii ndio maana wanajikuta waume zao wanatoka nje ya ndoa wakati wao wapo wanashindwa kuelewa kuwa kuolewa kwako haina maana kuwa unashawishi kingono.

kuna uwezekano mkubwa sana kingono haushawishi kivile ila tu mwenendo wako ndio umekubeba mpaka ukawa kwwnye ndoa uliyonayo.

Ndio maana wanaume wengi wanaheshimu ndoa zao lakini bado wanamichepuko ya maana kuliko wake zao ya kuburudika nao faraghani huko ila bado wanawapenda wake zao.why ?

Kwa sababu mchepuko anavutia kingono,na mkewe anavutia kindoa na mbaya zaidi wanaume anahitaji aina zote hizo za vivutio ili nafsi yake ipate utulivu wa sawasawa.

Mwanaume anapokutana na mwanamke mpole,mwenye akili,anaejali watu mstaarabu,anaechunga nini aseme nini asiseme,mwanamke asieomba pesa,mwanamke anaeshika dini husika ya mwanaume,mawnamke ambae ana mawazo mazuri sio mgomvi na hajishushi kuzungumzia mambo ya ngono kwa mwanaume,wanawake wa aina hii mwanaume akikutana nao anawaza na kuvutika kuwa huyu sasa ndio mke wa kuoa na kuishi nae na kuyajenga maisha.

Ila hiyo haina maana kuwa akimuoa manamke huyu eti mvuto wa kingono atakuwa ameupotezea hapana,bado mwanaume ataendelea kuvutwa na mvuto wa kingono na mwanamke yeyote yule atakayekuwa.

ndio maana wanawake wanatakiwa kujitahidi kuwavutia waume zao kingono kwa sababu ya kuwa wengi wapo wapo kwenye ndoa kwa kigezo tofauti na hicho.

Wanawake tambueni hili

Musijione mpo kwenye ndoa mkajisahau mkadhani pengine wanaume wenu wanavutika sana kingono na nyie hapana,wengi mupo hapo kwa sababu ya heshima na adabu zenu na ustaarabu ila sio mvuto wa kingono mliokuwa nao,fanyeni jitihada muwateke waume zenu.

Mwanamke kuolewa ni bahatai,na mwanaume kuoa mwanamke anaemvutia kingono na kumvutia kindoa pia ni bahati"
Yaani mkubwa umeongea kweli tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la ndoa gumu sana wapo wanawake wakali sana ila wanaolewa na wanaume Wa kawaida sana kwahyo mleta mada ndoa ni makubaliano sura sijui maumbile hayo yapo nyuma ya makubaliano kati ya muoaji na muolewaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.

Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda.

Wakati mwingine huwa nasema kuwa ...

"Kwa mwanamke kuolewa ni bahati,na kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye vigezo vya uzuri unavyovitaka ni bahati pia"

Wanawake wengi wamebahatika kuolewa,na wanaume wachache wamebahatika kuwapata wanawake ambao sifa zao za uzuti ndio zile walizozitaka mwanzo.ila wengi hawajabahatika na hilo.

Hii ni kwa sababu kubwa ya kuwa "tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa,na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu"

Kwa maana ukikutana na mwanamke mzuri,mwenye umbo uzi kubwa mbantu wa nguvu,kavaa sketi ya mpira,mapaja nje,mapozi kedekede,kikuku mguuni,mdomo una rangi nyekundu,kitovu kipo nje nje,matiti yamefichwa chuchu tu.

Huyu ataipeleka hisia ya mwanaume kwenye ngono kabisa kwa sababu wanaume wengi maradhi yetu ni kuona.

Manamke wa aina hii hawezi kumpeleka mwanaume kwenye hisia za ndoa kwa sababu maumbile yake na alivyo yanavutia katika hisia za kingono,wanaume tunavuta namna ile ile ya vile vinavyotuvutia.

Ndio maana wale madada poa wanaojiuza pale barabarani utawakuta wamevaa mfano wa nilivyotaja sio kwamba watuvutie kindoa,bali watuvutie kingono na matamanio.

Wanaume wengi hujishangaa kwa nini kabla ya kuoa alitamani kuwa na mwanamke mwenye tako kubwa,mzuri mrembo, mrefu mweupe ila anajikuta kaoa mwanamke mwenye sifa moja tu labda ni mweupe basi ila kalio nothing,uzuri nothing.

Sababu ni kuwa wanaume wenyewe kama hatujazisoma akili zetu hivi tunakuja kushtuka baada ya kuoa na kukaa na wake zetu kuwa ohoo kumbe vile vigezo nilivyovitaka havikuwa vigezo vya kunivutia katika Ndoa,bali vilikuwa vigezo vya kunivutia katika Ngono.

Wanaume wengi wanaoa wanawake wazuri baada ya Ndoa zao za kwanza kwa sababu wanakuwa wameshajifunza na kujua kuwa kuna kosa walilifanya kwenye Ndoa zao za kwanza.

kumbe kwenye ndoa ya kwanza ndo walikuwa sahihi na kwenye ndoa ya pili ndo wanakosea zaidi hasa kwa kutanguliza vigezo vya ngono kwenye ndoa jambo ambalo linafanya Ndoa ya pili ya wanaume wengi kuwakumbuka wanawake katika Ndoa ya kwwnza kwa sababu wale wa kwanza ndio walivitia kindoa na hawa wa pili wanavutia kingono tu.

Wanawake bado hawajajua siri hii ndio maana wanajikuta waume zao wanatoka nje ya ndoa wakati wao wapo wanashindwa kuelewa kuwa kuolewa kwako haina maana kuwa unashawishi kingono.

kuna uwezekano mkubwa sana kingono haushawishi kivile ila tu mwenendo wako ndio umekubeba mpaka ukawa kwwnye ndoa uliyonayo.

Ndio maana wanaume wengi wanaheshimu ndoa zao lakini bado wanamichepuko ya maana kuliko wake zao ya kuburudika nao faraghani huko ila bado wanawapenda wake zao.why ?

Kwa sababu mchepuko anavutia kingono,na mkewe anavutia kindoa na mbaya zaidi wanaume anahitaji aina zote hizo za vivutio ili nafsi yake ipate utulivu wa sawasawa.

Mwanaume anapokutana na mwanamke mpole,mwenye akili,anaejali watu mstaarabu,anaechunga nini aseme nini asiseme,mwanamke asieomba pesa,mwanamke anaeshika dini husika ya mwanaume,mawnamke ambae ana mawazo mazuri sio mgomvi na hajishushi kuzungumzia mambo ya ngono kwa mwanaume,wanawake wa aina hii mwanaume akikutana nao anawaza na kuvutika kuwa huyu sasa ndio mke wa kuoa na kuishi nae na kuyajenga maisha.

Ila hiyo haina maana kuwa akimuoa manamke huyu eti mvuto wa kingono atakuwa ameupotezea hapana,bado mwanaume ataendelea kuvutwa na mvuto wa kingono na mwanamke yeyote yule atakayekuwa.

ndio maana wanawake wanatakiwa kujitahidi kuwavutia waume zao kingono kwa sababu ya kuwa wengi wapo wapo kwenye ndoa kwa kigezo tofauti na hicho.

Wanawake tambueni hili

Musijione mpo kwenye ndoa mkajisahau mkadhani pengine wanaume wenu wanavutika sana kingono na nyie hapana,wengi mupo hapo kwa sababu ya heshima na adabu zenu na ustaarabu ila sio mvuto wa kingono mliokuwa nao,fanyeni jitihada muwateke waume zenu.

Mwanamke kuolewa ni bahatai,na mwanaume kuoa mwanamke anaemvutia kingono na kumvutia kindoa pia ni bahati"
Kuna ule mvuto wa awali.

Baaady ya kujuana, tabia zitaamua kama ni wife au starehe material.
 
Hakuna Mwanaume Atakayeshindwa Kumpenda Mke ambaye Ni mnyenyekevu, Mfariji, Anajua Maneno Gani Aongee na Asiongee, Sio Mke wako Anapambana Kukutawala, Anayebeba Hisia za Mwenzake, Kuomba Radhi anapokosea, Anayependa Ndugu wanpande zote Bila UBINAFSI wa kutaka kila Jambo Zuri lifanywe Kwao. Mwanaume Akimuumiza Mke Kama huyu Laana yake ni Ya milele Ndoa Yangu ina Miaka 9 Sasa Na Mama Chanja Mimi ni moja Ya watu nnayeenjoy Ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuita dogo kwasababu namna unavyochulia kuoa unadhani jambo dogo la kumuona binti Leo kesho au baada ya WK ukatangaza ndoa,
Nakuambia kabisa akili ya mwanamke ione tu, hafu mwanamke usiye mfahamu ambaye hata huna mtu/ ndugu yako anayemfahamu hata kama anatabia zinazokuvuatia kuwa makini sana, haswa kama anakuja kwako akiona maisha unayoishi anauwezo wa kukuinfluence ukajikuta umemuoa kumbe hana tabia za kuwa mke.

Hayo ni mawazo yako mkuu siwezi kuyapinga,ila ukiangalia vozuri mimi nimegusia namna ambavyo wanawake wanavutia kingono na kindoa.

Wewe ulichoelewa na kukigusia ni mchakato wa ungine wa kumchunguza mwenza.hizo taratibu zipo ila uzi wangu haukulenga maudhui hayo.

Unaweza kumuona mwnamke humjui tabia zake ila anapokaa unapajua,unaweza kufanya taratibu za kutuma watu kwa siri wanaojua anapokaa huyo binti na wakamchunguze kwa kuwaulizia wadau pale mtaani tabia zake.hili ndo unaloulizia.

Mimi nazungumzia mvuto wa wanawake kwetu tunapokuwa tumechanganyika nao kwenye maisha ya kawaida.

Suala la kuwa uchukue hatua sasa la kutaka kujihakikishia ni suala jingine.mimi sikusema kuwa huo mvuto anaigiza au halisia lakini nilichosema kuwa tunavutiwa na namna hizo.

Sasa wewe ili uhakikishe lazima ufanye mchakato huo wa kumchunguza tabia kupitia watu wenye busara na waadilifu wanaokupendelea heri.

Unachoongea na nilichopost ni mambo mawili tofauti,uzi unahusu kuvutika kingono na kindoa na wala uzi hauzungumzii moja kwa moja mchakato wa kumpata mchumba kama ulivyoelewa.
 
Inaonekana hamjaoa nyinyi nawachukulia kama vijana walioko vyuoni wana ndoto ambazo ukiwasikiliza unajua kabisa hawa vijana baafa ya miaka miwili mitatu watakuwa kama Billgates na Jackma. Wana maoni mazuri na mipango ambayo ikifanikiwa kweli( na hapo ndipo kazi ilipo) unaona wana vision. Ukiwatembelea huko field waliko 1, 2, 3yrs after graduates unakuta wamechoka sana taabani. Waulize ile mipango yenu imwfika wapi??.

Mti ambaye hana uzoefu wa jambo ni mwepesi sana kuongea kile anachofikiri

Yes mkuu.

Wakati mwingine uzoefu utangulizwe kwanza then fikra ziwe nyuma
 
Madem wakuoa wapo, unapata dem ad unajiuliza siku zote alikuwa wapi. Hakuombi hela, ukitaka mzigo anakupa, demu akija kukutembelea anakufulia nguo adi boxers, anaosha vyombo, na anakupikia chochote unachotaka, hataki ununue chakula akiwepo.
Aaa aiseee.

Ila pia ni muhimu kujiuliza kuwa ikiwa anakupa wewe namna hiyo na haujamuoa unajiaminisha vipi kuwa hatompa mwingine ambaye pia hajamuoa pengine kakuzidi wewe kwa ambacho demu amekukubali wewe.
 
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.

Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda.

Wakati mwingine huwa nasema kuwa ...

"Kwa mwanamke kuolewa ni bahati,na kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye vigezo vya uzuri unavyovitaka ni bahati pia"

Wanawake wengi wamebahatika kuolewa,na wanaume wachache wamebahatika kuwapata wanawake ambao sifa zao za uzuti ndio zile walizozitaka mwanzo.ila wengi hawajabahatika na hilo.

Hii ni kwa sababu kubwa ya kuwa "tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa,na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu"

Kwa maana ukikutana na mwanamke mzuri,mwenye umbo uzi kubwa mbantu wa nguvu,kavaa sketi ya mpira,mapaja nje,mapozi kedekede,kikuku mguuni,mdomo una rangi nyekundu,kitovu kipo nje nje,matiti yamefichwa chuchu tu.

Huyu ataipeleka hisia ya mwanaume kwenye ngono kabisa kwa sababu wanaume wengi maradhi yetu ni kuona.

Manamke wa aina hii hawezi kumpeleka mwanaume kwenye hisia za ndoa kwa sababu maumbile yake na alivyo yanavutia katika hisia za kingono,wanaume tunavuta namna ile ile ya vile vinavyotuvutia.

Ndio maana wale madada poa wanaojiuza pale barabarani utawakuta wamevaa mfano wa nilivyotaja sio kwamba watuvutie kindoa,bali watuvutie kingono na matamanio.

Wanaume wengi hujishangaa kwa nini kabla ya kuoa alitamani kuwa na mwanamke mwenye tako kubwa,mzuri mrembo, mrefu mweupe ila anajikuta kaoa mwanamke mwenye sifa moja tu labda ni mweupe basi ila kalio nothing,uzuri nothing.

Sababu ni kuwa wanaume wenyewe kama hatujazisoma akili zetu hivi tunakuja kushtuka baada ya kuoa na kukaa na wake zetu kuwa ohoo kumbe vile vigezo nilivyovitaka havikuwa vigezo vya kunivutia katika Ndoa,bali vilikuwa vigezo vya kunivutia katika Ngono.

Wanaume wengi wanaoa wanawake wazuri baada ya Ndoa zao za kwanza kwa sababu wanakuwa wameshajifunza na kujua kuwa kuna kosa walilifanya kwenye Ndoa zao za kwanza.

kumbe kwenye ndoa ya kwanza ndo walikuwa sahihi na kwenye ndoa ya pili ndo wanakosea zaidi hasa kwa kutanguliza vigezo vya ngono kwenye ndoa jambo ambalo linafanya Ndoa ya pili ya wanaume wengi kuwakumbuka wanawake katika Ndoa ya kwwnza kwa sababu wale wa kwanza ndio walivitia kindoa na hawa wa pili wanavutia kingono tu.

Wanawake bado hawajajua siri hii ndio maana wanajikuta waume zao wanatoka nje ya ndoa wakati wao wapo wanashindwa kuelewa kuwa kuolewa kwako haina maana kuwa unashawishi kingono.

kuna uwezekano mkubwa sana kingono haushawishi kivile ila tu mwenendo wako ndio umekubeba mpaka ukawa kwwnye ndoa uliyonayo.

Ndio maana wanaume wengi wanaheshimu ndoa zao lakini bado wanamichepuko ya maana kuliko wake zao ya kuburudika nao faraghani huko ila bado wanawapenda wake zao.why ?

Kwa sababu mchepuko anavutia kingono,na mkewe anavutia kindoa na mbaya zaidi wanaume anahitaji aina zote hizo za vivutio ili nafsi yake ipate utulivu wa sawasawa.

Mwanaume anapokutana na mwanamke mpole,mwenye akili,anaejali watu mstaarabu,anaechunga nini aseme nini asiseme,mwanamke asieomba pesa,mwanamke anaeshika dini husika ya mwanaume,mawnamke ambae ana mawazo mazuri sio mgomvi na hajishushi kuzungumzia mambo ya ngono kwa mwanaume,wanawake wa aina hii mwanaume akikutana nao anawaza na kuvutika kuwa huyu sasa ndio mke wa kuoa na kuishi nae na kuyajenga maisha.

Ila hiyo haina maana kuwa akimuoa manamke huyu eti mvuto wa kingono atakuwa ameupotezea hapana,bado mwanaume ataendelea kuvutwa na mvuto wa kingono na mwanamke yeyote yule atakayekuwa.

ndio maana wanawake wanatakiwa kujitahidi kuwavutia waume zao kingono kwa sababu ya kuwa wengi wapo wapo kwenye ndoa kwa kigezo tofauti na hicho.

Wanawake tambueni hili

Musijione mpo kwenye ndoa mkajisahau mkadhani pengine wanaume wenu wanavutika sana kingono na nyie hapana,wengi mupo hapo kwa sababu ya heshima na adabu zenu na ustaarabu ila sio mvuto wa kingono mliokuwa nao,fanyeni jitihada muwateke waume zenu.

Mwanamke kuolewa ni bahatai,na mwanaume kuoa mwanamke anaemvutia kingono na kumvutia kindoa pia ni bahati"
Kuna maisha ya kufikirika na kuna maisha halisi ya ndoa, ila kwenye ndoa mwanamke mwenye respect kwa Mumewe huyo ni kila kitu na ataishi kama Malikia kwenye hio ndoa.
 
Mi naona kuoa hakunaga fomula,huyo huyo mvaa uchi anaweza kukuchanganya kimahaba ukamuoa!! Suala si kubadili mavazi tu,Ukamshauri na akabadilika na mnaweza kuishi vizuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja kwasababu kuna cousin wangu kaolewa juzi tu hapa
ana tattoo mkononi,mguuni kwenye kifu kwenye shingo.
Ana mtoto (Single mother)
Ni malaya mno kiasi anatoka kwa mumewe anaenda kwa bwana
yani kwakifupi kwa mtazamo wa nje na tabia yake hafai kuwa mke wa mtu kabisa , lakini shemeji yangu kamchukua kamuoa na anampenda kwelimweli

Haya hapo utasemaje[emoji23]
 
Ndoa ni kasumba nyingine, chagua chagua hii unajikuta umeibuka na bondia aliyekuwa likizo ya uchumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nmecheka kama mazuri kumbeee.....tena ukutane na mmachame mmoja hivi kwa nje very kapole....balaaa lake sasa, mandonga mtu kazi huyu hapa tena kavu kavu hta gloves havai
 
Nmecheka kama mazuri kumbeee.....tena ukutane na mmachame mmoja hivi kwa nje very kapole....balaaa lake sasa, mandonga mtu kazi huyu hapa tena kavu kavu hta gloves havai
😀
 
Back
Top Bottom