uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ebu fafanua kidogo
Maoni ya Muumbaji, Mungu mwenye enzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu fafanua kidogo
Na itekelezwe kwa vitendoEquation x una hoja usikilizwe jamani.
Na hili ndilo jibu, kama mwanaume rijali lazima akubaliane na hoja yako.Kikubwa ni kwamba mke kwa boss hapindui
Naunga mkono hoja 100%. Nimekuwa mwajiriwa na mfanyabiashara kwa nyakati tofauti. Unachozungumza Ni halisi.Wanaume tupambane kwa nguvu zote tufungue biashara ili wake zetu waweze kuzisimamia.
Hii hali ya kuoa mwanamke aliye ajiriwa kuna changamoto zake kama ifuatavyo:-
Kazi ndio mme wake Mumewe ni chaguo la pili baada ya kazi Anaiheshimu ile kazi na anaitii kuliko anavyomtii mme wake Kazi inamfanya alale nje au wakati mwingine awe mbali na mumewe (safari za kikazi) Anamtii bosi wake kuliko mume wake Bosi akiwa kipanga atatembea na mkeo kwa kumuwekea mazingira ya posho posho n.k Ikitokea kazi inamhitaji nawe unamhitaji, atasikiliza kazi kwanza na wewe unawekwa pending Ikitokea amehamishwa mkoa au nchi,inabidi uwe mpole tu sababu kazi ndio iliyomuoaMfano mdogo tu; mkeo akipigiwa simu na bosi wake ataanza kutetemeka zaidi kuliko anavyopigiwa simu na mumewe.
Swali, Je wake wa matajiri wameajiriwa?
Amka mwanaume, mfungulie mkeo biashara ajiajiri, kuajiriwa sio sifa.
I Love this....💖💕🥰Nikupe Siri/
Mpe mkeo dili/
Awaze pesa na sio awaze itakuaje ukiongeza mke wa pili/
Naunga mkono hoja