Wanaume tupambane kwa nguvu zote tuwafungulie wake zetu biashara wajiajiri

Umesahau na watoto kwa kiasi kikubwa kulelewa na mahausigel,mtoto anayelelewa na mtu baki asiyekuwa mzazi wake ni hatari sana hana kitu kinachoitwa maadili.

Hao house maids mabwana zao ni bodaboda drivers na wauza magenge hawa wakati ninyi wazazi mmeenda kazini mchana wanaingizwa kwenye nyumba zenu wanawapiga pipe hadharani mbele ya watoto wenu wadogo nao watoto wanaona sawa wakikua unashangaa unaletewa kesi mwanao aged 17 anainamishwa uchochoroni mzazi unaenda kulaumu shule anakosoma unasahau hukumpa malezi mazuri nyumbani.
 
Naunga mkono hoja 100%. Nimekuwa mwajiriwa na mfanyabiashara kwa nyakati tofauti. Unachozungumza Ni halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…