Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Nikajua tu ni mimi sijui kinachoendelea!! Yanawatoooka ila hakuna anayesema ni udhalilishaji gani kafanya zaidi ya kuongea hisia zao na kutoa stress zaoπŸ™†πŸ™†
Naona watu wanatiririka tu, hebu wekeni hayo machambo tuyaone wote kayasemea wapi?
 
Mzee Shusho angeshusha kombora kama Gadner ingekuwa soo, Jide aliongea sana ila Gadner alipopigq mshono kwa kombora moja tu akaonekana yeye bonge la mkosaji.
 
Endelea kutafuta zawadi ya kufa Kiume huko mbinguni kabla ya siku zako utuachie Pisi Kali wako tumtwange na kuni kisawasawa [emoji1]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Mkipigwa chini yanawatoka sana, tulieni bana papuchi zipo nyingi....kamata nyingine endelea na maisha yako.

Malaya kisa kachoka kubeba mzigo? Kwahiyo aendelee kuteseka ili mumuone malaika??? Acha aishi apendavyo.....
Sasa kama ksahaamua kuishi kivyake si atulize nyapu anaongea ongea nini?
 
Christina ni Danga kama maadanga mengine ila amejificha kwenye mwamvuli wa uimbaji wa nyimbo za injili. Wee muimbaji wa nyimbo za injili kila siku uko na akina Diamond wapi na wapi?
Ukimsikiliza mara awashauri wanawake wasitoke kwenye ndoa waliojenga kwa miaka kadhaa, mara nimeachana na ndoa ili niwe mchungaji niweze kuhudumia kanisa langu, mara nilikuwa mzuri sana mama kahofia nisiharibike hivo nikaozeshwa kwa lazima. Ameshapata mileage za kutosha hebu atuache kwanza.
 
njooni humu mnaitwa 𝐊𝐚𝐭𝐚𝐚 𝐧𝐝𝐨𝐚
 
Mwanaume bora hajibu mwanamke anaporopoka. Kama ameamua kuachika akwende tu. Hakuna kujibizana nae.
 
Wanaume
 
Yani hapa ndo namkumbuka Mange Kimambi maana tayari angekuwa asharuka na shusho na kuleta mafaili yake yote
 
Endelea kutafuta zawadi ya kufa Kiume huko mbinguni kabla ya siku zako utuachie Pisi Kali wako tumtwange na kuni kisawasawa [emoji1]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Zawadi ya kufa kiume ni kuzaliwa wa kiume. Hii ni tunu, tuitumie.
Na kuhusu kuitwanga pisi yangu, usiwaze, hata leo itwange tu. Maana hao wakiamua hakuna cha kuwazuia. 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…