Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Tutake radhi mkuu mambo yao waachie wenyewe, mwanaume rijali anayejielewa Huwa haongei sana Kukaa kimya pia ni jibu tena Huwa linauma sana
 
Wanaume hatupigani vita vya maneno na wanawake, hasa mitandaoni. Anachokifanya mzee ndiyo uanaume wenyewe. Kula buyu kama hakijatokea kitu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ndio manake na kisaikolojia mzee asipojibu itamuumiza Sana mwanamke dhamira yake ni kumpandisha mzaa hasira anyanyue mdomo
 
Christina aache kutumia jina la Shusho.
 
Kaka udhalilishaji unasema non of our business,kuna hadichama cha wanaume wanaopigwana wake zao,huu ni unyanyasaji kijinsia,abgefanyiwa mwanamke wanaharakati wangeamka huko,wake up guy,tunakufa mapema sababu ya wanawake kama hawa
@mdukuzi ,kweli bwana,we die premature because of these kinds of women,kwasasa. Mzee SHUSHO anaonekana kichekesho ila angekua amefanyiwa Tina basi dunia yote ikiwemo wanaume wangeandamana kumtetea Tina,dunia ya sasa nikandamizi kwa mwanaume tena haina huruma namwanaume chakushangaza ,hadi wanaume tunajipendekeza nakushangilia alichokifanya Tina badala ya kupigwa vita hadi ajutie,media zinajaribu kutetea uzinifu wake,namakosa yakena nakuhalalisha alichokifanya as if nitabia njema Ktk jamii.eti tu kisa nimwanamke mwenye matako daahh????!!!!
 
Christina amekuwa mtu mzima lakini kichwani ni zero bin "sufuri" lenye sufuria.Anaamini kuongea kutamuondolea sumu mwilini mwake.Si kweli. Atakutana na wehu kama "mimi" tutamuongezea sumu zaidi.Awe mchaguzi wa maneno kila afunguapo kinywa chake.Hii ni dunia itambinukia kama gunia.
 
Wanaume tumeumbiwa matesa inauma sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…