Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Kwani kasemaje Tina?si niliwaona wote na daddy kwenye mtoko wa pasaka?

Anyways,tatizo la Tina anajiita mlokole kumbe ni shangingi na dada wa mjini aliyeshindikina,ukitaka kujua tabia ya Mtu angalia watu anaomingle nao,Sasa Mtu rafiki zake bongo movie kuna jambo hapo?
 
Eti mrembo kwani shusho kaongea kitu gani?
Mi nlichokisoma hapa alihohiwa akasema " nimeamua kuachana na mme wangu ili nitumize ndoto tangu" kwahiyo alivoachana amefungua kanisa lake.....ila pia hapendi kuitwa mchungaji anapenda kuitwa tu muimbaji. Hiki ndicho nimesoma hapa jf sijajua kama kuna mapya kaongea.
 
Sisi walokole huwa tunaanguka kiroho jamani kama ambavyo nanyie watu wa kawaida hutenda dhambi, ndio Maana Mungu wetu mwenye huruma anatupa nafasi ya kutubu. 😹
 
Hahahahaha Mondi amuoe huyo Tina ? Ila inawezekana..
Midemu km hiyo ndiyo ya kuila Tigo tu mwanzo Mwisho
 
Mlokole ndio anaongea hayoo? Ndio maana ktk wanawake naonaga miyeyusho ni walokole
 
Mada iko kwa Kiswahili, wewe unaandika kwa Kiingereza.
Ndiyo maana hata wewe unaona hilo wazo la mzee kutetewa lina maana.

Mwanamke mpuuzi anapuuzwa na upuuzi wake.
Mwanaume wake anapaswa kujikita kwenye mambo mengine ya msingi, siyo naye kuja kulumbana mitandaoni au kutaka kujitetea au kujisafisha. Ni kupoteza wakati pia kuingia kwenye mfumo wa 'kike'.
Uanaume ni kukaza na kukaa kimya wakati wa dhoruba. πŸ“Œ
 
Kwa hiyo imethibitishwa kuwa Tina ni mali ya Dangote? 😁
 
Kama ni hivyo hapo kamdhalilishaje mumewe?
 
kwani shusho kasemaje mbona hamtuambii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…