Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Wanaume tupaze sauti tumtetee Mzee Shusho kwa udhalilishaji anaofanyiwa na Christina

Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.

Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi

Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalulisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.
Kwanini tumtetee? Mtu alizuia yule demu awe anakula peke yake!! Sisi ndiyo tumefurahia, wacha tutafute namna ya kumfikia tu nasi tukajirushe naye.

Kila mtu ashinde mechi zake
 
Kamdhalilisha na nini yani watu.... Hivi angesema hajui kunyandua wanaume si mngeweka matanga???
Usinijumlishe kwenye huo ujinga wao watu wanatapika nyongo kumbe jambo lenyewe ni dogo labda kuna wengine wanatumia matatizo yao ya kifamilia kumtwisha mzigo dada yetu Shusho ndio maana makasiriko yamekuwa mengi
 
Wanawake wenzio watakaosema wafuate maneno yako watajikuta baridi linawamaliza wakati huo wewe ikifika Jioni tu unamwambia Baba Chanja unaipandia juu 😜🙌

Hujaona anasema eti ni Mzee wa kimoja chali

Hajui kimoja hicho hicho kinaweza kumfanya Mke aanze kulamba ndimu Kwa kichefuchefu 😅
Hilo sijasikia.....kama kweli katamka hayo, amekosea.
 
1714467776307.png
 
Wanaume hatupigani vita vya maneno na wanawake, hasa mitandaoni. Anachokifanya mzee ndiyo uanaume wenyewe. Kula buyu kama hakijatokea kitu.
Ni sahihi na hiki ndio kinachomtesa huyo binti. Mzee aendelee na maisha yake ikiwezekana aoe tena tu.
 
Hilo sijasikia.....kama kweli katamka hayo, amekosea.
Ninyi mkishatuchoka hamuoni shida kutuumiza.

Na mkishapata dogodogo wa kusimamia Kucha ndiyo balaa kabisa, ukiwa naye Kwa bed unaambiwa mtukane Mzee Grahams nawe unatii kabisa Mzee huyu nanii kabisa 😜
 
ivi ndo ameimba ule wimbo wa ,...... "...Shetani na mama mkwe wake wanalia. Shetani na mama mkwe wake wamekalia misumari, Walijua nitakufa, hawakujua nina Mungu,walijua nitakufa..."
 
Mzee Shusho namuelewa sana!
Mzee wa watu anakubali muda uwe hakimu, muda utaongea! Habishani na Christina kwa lolote! Mwanamke muache aongee tu usimjibu!
 
Huoni udhalilishaji anaofanyiwa Mkuu

Yaani huyo Tina amebakiza pointi kidogo sana aanze kuyasema ya chumbani

Kuhusu Kataa Ndoa, niwe mkweli Sijaona Wanawake timu Kataa Ndoa, wewe utakuwa wa kwanza Mkuu 😅
Tuambie huo udhalilishaji ni upi?
 
Kwani kusema nimemuacha mme ili nitimize ndoto zangu ni dhambi????kumuacha mme ni dhambi???

Mfano narudia ni mfano
Mme wangu hataki mie nifanye kazi, naamua nimuache ili nikalambe dili nzito huko nipate maokoto.....ni dhambi? Nimekosea nini???
Mimi nilivyo msikia kwenye interview anasema alikua anakaa amezungukwa na wanaume 11 kulikua na sababu ya kuongea yote hayo ili tumchukie huyo mume wake au.
 
Back
Top Bottom