Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo binti anaumwa akili haki vile, yaani nigharamie!!! Uwiiii hata kuwaza tu sijawahi yaani, ameniudhi kweli wa wapi huyo!!! Agggggrrrrrrr!!
Inaonekana hujawahi kupenda toka moyoni....
Teh cute b me nishawishike na nini tena? Yani hata kuomba sikumbuki manake paulo ananimwagia tu pounds, rahajeeee. So nafanya tu kumshikilia kwa nguvu zote. My kaka mito hanaga hiyana na baby ake, anakula tu raha za ndoa now mweeHa ha ha...ila uzuri na wew ni mtoaji mzuri...so hatonishawishi labla Heaven Sent atashawishika....
Mpendwa usiwaze kabisa teh. Nishakujibu hapo juuSina uhakika kama dada mtumishi Heaven Sent .. nayeye ni bepari wa mapenzi...
Unapotaja jina la Huyo Binti Nahisi Moyo Wangu Unasimama Kufanyakazi na Hapo hapo nahisi Israel Mtoa roho yupo nami.
Msalimie Missyrose na Dada Apologise lady bila kumsahau my X rubii na Shem Cute b aka kinyama cha hamu
Nimewahi maramoja napo sikuwahi kumhudumia kipesa, ni jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke wake.
Ila nini? Upo tayari usimgharamie chochte hata mkitoka out bill ana clear mwenyewe....
Will you be okey?
Mwee rahajeeee, ngoja nisiandike sana broo teh utaanza kusmile Peke yako kama siku ile. Ila I pray furaha yenu iendelee kudumu milele yote.Umeona my sista!!!
Mi kweli namshukuru sana Mwenyezi Mungu, sijajutia kuoa aisee, ni raha tu kwa kwenda mbele
namshukuru Mungu me mzima kabisa shem, sijui weweVipi umzima lkn
namshukuru Mungu me mzima kabisa shem, sijui wewe
Wee vijana gani tena hao? Paulo yupo sana bana, hamjakutana tu mahaliMiye nipo fresh Shem, VP mbona Paulo haonekani au nae alikuwa mmoja Wa wale vijana?
Ni kweli mwanaume anatakiwa kumhudumia mwanamke...ila sio kwamba kama vitu unaweza kufanya mwenyewe ndio umtegemee mwenzako akufanyie.....hapo hutakuwa fair na hutakuwa unampenda mwanaume wako....
Mi siongelei kuhudumia ambapo mwanaume anafanyiwa kila kitu na mwanamke, hapana.... ila ile ya mwanaume kumsaidia mwanamke pale inapobidi......
Wee vijana gani tena hao? Paulo yupo sana bana, hamjakutana tu mahali
Mtake radhi mume wangu tafadhali looh . Haya wewe kaangiza tu shemNikajua wale wataalam Wa IT walionaswa.
Basis fresh Shem miye napika ila ukimuona witnesj mwambie sijambo
Dogo unaendeleaje?Pale inapobidi lini? Kila siku inatakiwa ibidi, toeni pesa bwana.