Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huko kwa mdhungu paulo de..nani sjui??
Tunatafuta box kubwa angalau mtunukiwa zawadi ajue amepata hata washing machine kumbe ndani tumemwekea boko haram wake hahhaha
Yani nimetafuta jina la kukupa nikakosa, angalau hilo boko haram ndo linakutendea haki kidogoo. Angalau baba angu atanenepa jamani khaaMwe mwe mweeeeh!! Kweli umenichoka, nimekuwa boko haramu tena!
Hahaha ngoja akusikieTeh teh... bepari plus boko haram...
Teh teh... bepari plus boko haram...
Yani nimetafuta jina la kukupa nikakosa, angalau hilo boko haram ndo linakutendea haki kidogoo. Angalau baba angu atanenepa jamani khaa
Wee kakonda utadhani ana minyoo, six pack zote kushney, hadi kakitambi tu kakufutia simu kameisha. Akhuu aongezeke tu mzee wanguYaani anenepe zaidi ya pale!! Daah humtakii mema wewe.
Wee kakonda utadhani ana minyoo, six packs zote kushney, hadi kakitambi tu kakufutia simu kameisha. Akhuu aongezeke tu mzee wangu
Loooh subiri aongezeke utazionaWeeee kumbe aliwahi kuwa na six packs!! Lini hiyo? Au enzi za ujana wake?
wee kakonda utadhani ana minyoo, six packs zote kushney, hadi kakitambi tu kakufutia simu kameisha. Akhuu aongezeke tu mzee wangu
six-packweeee kumbe aliwahi kuwa na six packs!! Lini hiyo? Au enzi za ujana wake?
Ooh thanks mpendwa, Tushazoea "wingi" unaweka na s au es tehsix-pack