kisaikolojia.,wanaumwe tumeumbwa na tamaa lakini wanawake wameumbwa na upendo..iko hivi,mwanaume mwenye akili timamu anaweza kumpa mimba chiz lkn mwanamke mweny akil timamu hutaskia hata sku 1 akipewa mimba na chizi.
fact. mwanamke mpaka akupe ni amekupenda bt mwanaume yeye anawez kusex na mtu asompenda ,shida yake matamanio yake ayakidhi tu,,,.mkuu sisi wanaume hata mwanamke awe mbaya vipi akivua nguo lazma mnara upande,hili liko wazi, lkn kwa mwanamke hii haipo ni tofauti kabisa,.kwahiyo usishangazwe na hilo...simtetei mshkaj mana na discourage mambo kama hizo mana ni utovu wa nidham na kukosa utu.....
Sent using [Samsung galaxy s10]