Unaongea nadharia za kitoto sana wewe.
Machizi wa kiume huwala sana wanawake wenye akili timamu kuliko unavyojidanganya hapa.
Kitu pekee kinachofanya waonekane wanaume kuwa wanalala na hao wanawake chizi ni hizo mimba wanazopewa.
Kwani ukimuona mama mjamzito utatofautishaje hii mimba ni ya chizi au siyo ya chizi ?.
Kwa sababu wewe bado mtoto mdogo ngoja nikupe mikasa miwili niliyoshuhudia machizi wakiwatindua wake za watu kama kawaida.
Mkasa wa kwanza.
Pale Shinyanga mjini kuna shule X mwalimu mkuu wa pale in early 2000s aliachana na mke wake baada ya kumfumania akiliwa na chizi tena chumbani kwa Ticha mkasa ulikuwa mrefu ngoja niishie hapa.
Mkasa wa pili.
Tabora kuna machizi wengi sana, kuna huyo chizi mmoja anamwili umeshiba white fulani hivi kamzalisha mama mmoja katoto ka kike copyright wakati wife na husband wote ni black.
Hivi wewe unadhani upendo wa mwanamke unaweza kuwa expressed pale tu anapotongozwa ? NO hata wao wanautashi akimwelewa chizi atafanya kila mbinu ili ampate njia rahisi nikumkaribisha Kwake kwa kumpa chakula.
Kua uyaone dogo.
Sent using
Jamii Forums mobile app